Rais Magufuli safisha "uozo" huu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg
image.jpeg



Tanzania Airport Authority ni "JIPU TAMBAZI" tumkumbushe JPM atembeleee huko TAA makao Makuu na pale JNIA(Julius Nyerere Int'nal Airport).Huo mgahawa ni wa mchina,ni mama wa Kichina ambaye anaelezwa kuwa ana "mahusiano" na mmoja wa vigogo wa TAA.Eneo ulipojengwa Mgahawa ni eneo la maandishi ya "NO PARKING" na lilifaa kuwa moja ya "escape" ya tishio la moto au shambulio la ghafla la "ugaidi" lakini kapewa Mchina na kwa mkataba wa miaka mitano.Hakuna watu wa Mazingira wala wa Civil Engineering waliohusishwa zaidi ya kuona jengo likiibuka kama uyoga wakati eneo hilo maalumu kwa abiria wanaoondoka na wanaosafari.JPM au Mbarawa fika uombe mkataba wa huo mgahawa "fake"

Zaidi ya hapo tembelea eneo la "International Departure" kule juu,watu wamegawiana vibanda vya biashara mpaka wanakaba "lounge",kila mtu akija na "kimemo" basi anapewa eneo na kujenga "kaduka" kake,imekuwa sasa sio "Lounge" ila ni soko kama K'koo,hakuna utaratibu kama viwanja vingine unakuta "Duty Free Shops" zinazoeleweka

Hapo TAA kuna malalamiko na majipu mengi sana,Juzi Waziri Masauni kaishia "kutumbua" majipu ya askari polisi na askari wa Zimamoto wanaoiba mafuta ya ndege na kuuza mtaani,lkn kwanini mmeacha Management ya TAA ambayo imesababisha uwanja huo na mamlaka hiyo kuoza??Ukiacha huo uongozi mpya wa kiwanja uliowekwa wakati wa Utawala wa JPM wa JNIA na TAA-HQ...chinu ya hao wapya kuna uwozo mwingi sana,kama hautarekebishwa basi hata hao waliowekwa wapya hawataweza kuleta "changes" za aina yoyote.

Kuna malalamiko ya Mkurugenzi wa Rasimali Watu,huyo anasemwa kuweka watu wake kiundugu wa kugawa vyeo na madaraka kwa "watu wake",kapachika ndugu yake Meneja Security wakati kuna wengine wengi tu wenye vigezo lkn anapiga chini,wakati anabania wengine kwenda kusoma au kusomeshwa na mamlaka kama ambavyo wamejiwekea ktk utaratibu wa "Human Resource Training and Development",huyo ndugu yake alimpeleka shule India kwa pesa ya mamlaka na kurudi "kumtundika" cheo.Kitengo kingine kaweka hawala yake na kabla ya mkwara wa JPM jamaa alikuwa anampa safari za nje sizizo na mbele wala nyuma.Mbarawa huko TAA mbona hutembelei utumbue haya majipu??Hii tunakupa ni kama "Hints" tu,lkn tumia Usalama wa Taifa walio hapo Kiwanjani wakupe uozo wa hapo,wasipokupa sisi tutakufikishia tu.

Jengo la VIP Lounge ni "Jipu" jingine la TAA,pale kila wanaopita VIP wanalipa kwa dola,waliowekwa kupokea pesa za watumiaji wa VIP kwa cash na hundi ni watoto wa "Vigogo" wa TAA,tembelea upewe mapato na matumizi ya VIP,watoto wao wamekula hela ya mapato ya VIP na bado wapo kazini.Hela imeliwa ila sbb waliokula ni watoto wao issue inazimwa kimyakimya,tembelea hapo na upewe majina ya waliofanya kama wakusanyaji mapato VIP utajionea majina ya watoto wao ndio utaamini.VIP ulikuwa ni mradi wa watu na wamekula sana pesa pale bila risiti

Kuna ile kampuni ya "PORTERS",ule ni mradi wa watu pale JNIA,kila "Porter" anatakiwa kukusanya kiasi cha pesa na kumpatia "Supervisor" kwa siku,na pesa ile ina mlolongo wa watu kugawana.Jiridhishe kuwa kampuni ya "Porter" huwa inashinda "tender" kiharali au ni mradi wa watu wa TAA,uhakika ni kuwa utapata jibu na kujua "Jipu" lilipo.Wale Porter ndio wanatumika kupitisha mizigo ya magendo kwa wafanyabiashara wasio waaaminifu.Mtu akishuka na mzigo anauwacha na porter anaubeba huku akila sahani moja na mtu wa custom na wale Polisi,ule ni mtandao mkubwa wa kukwepa kodi na kupitisha mizigo kimagendo.Kama watu wenu wa usalama wapo makini watwapa ripoti hii,maana sisi wapita njia tu tunajuwa hii michezo vipi vyombo vya usalama??

Uhamiaji ndio kama kawaida,wanapitisha raia wa kigeni kwa rushwa wakati hawana hata "Invatation letter",ndege ya Ethiopia ya usiku ndio inatumika sana maana pale serikali inakuwa "imelala".

Tupia jicho wafanyakazi hewa,wafanyakazi wa muda "temporary workers" ambao wanazidi "parmanent workers".Hawaombi vibali vya ajira ili kuwa na kigezo cha uhaba wa ajira na kuajiri ndugu zao kama wafanyakazi wa muda.Mpaka waliposikia mkwara wa JPM wakawaondoa wachache ambao hawakuwa na "Godfather" na kukatisha ajira zao,sasa HR wa JNIA ana kesi Mahakamani kwa kuwaweka watu kama wafanyakazi wa muda kwa kipindi kirefu halafu wanakuja kuwaondoa kienyeji

Pale TAA/JNIA kuna uwozo mwingi,ili hao Wakurugenzi wapya wa TAA na JNIA wafanye kazi kwa kasi ya serikali yako,lazima majipu chini yao yatumbuliwe,week iliyopita Naibu Waziri Masauni tulimuona akitumbua majipu ya askari polisi na askari wa Zimamoto ambao ni "wezi" wa mafuta ya ndege,lkn akaacha mzizi wa wizi na wezi wakubwa
 
Mkuu Zamiluni Zamiluni inakatisha sana tamaa yaani watu washafanya mali ya umma kama mali yao binafsi
SIASA za AWAMU ya Kwanza imeBackfire !! tena fire mkubwa....
baada ya TAIFA (wananchi) kupewa vitu vya bure......... (viwanda/maKampuni/mashule/mashamba/majengo, Magorofa/maHospitali, nk nk)
hao wakajua mali zote za Umma ni za kuchezea na zote zijazo ni kuchukuwa Swadakalawe!!!
Very sad hakuna Uzalendo
Very Sad hakuna Utaifa.... Nchi hii italipa gharama kubwa !!
 
UJAJIULIZA KWA NINI KUNA NDEGE ILIONGEZRWA RTE KWA AJILI YA USIKU NA ALIPOTOKA MADARAKANI NA YENYEWE IKASTOP KUJA USIKU UJAJUA SABABU

NCHI IKO ICU

KIUHALISIA PROF MBAWALA ANAKAZI KUBWA SANA SANA...KUNA AIRLINE NYINGI ZIMEOMBA NAFASI LAKINI CHA AJABU KABISA WAKANYIMWA ANAPEWA HUO MSHENZI MCHINA ...NIKUSAIDIETU HUYO NDIE KINARA WA KUINGIZA WACHINA WASIO NA KIBALI KAMA UAMINI MCHEKI EMIRATES ETHIOPIAN ZIKITUA....ANAVYIOHAHAA NA WENGINE ANAWAUZA NJE YA NCHI WANACHOFANYA WANALONGA NA IMMIGRATION WANAPANDISHWA WANAONDOKA USIKU..NA NDEGE ZA USIKU

KILICHOFANYIKA JAMAA MMOJA WA IMMIGRATION NDIE ANAPIGA YEYE AKITUMIKA KAMA DALALI KUINGEA NA TAA KUWEKA MZIGO HAPO.....

ANACHOTAKIWA KUFANYA
COMMERCIAL MANAGER ARUDI MJINI UJENZI
HR ARUDISHWE MJINI
FINANCIAL MANAGER ARUDISHWE MJINI

WALETWE WAPYA ..LAKINI KABLA YA YOTE IPITIWE MIKATABA YOTE YA UWANJA WA NDEGE..NCHI INALIKA SANAA KUNA MHINDI KULE JUU ANALIPA KABANDA DOLA MIATATU NA VINGINE 700 KWA MWEZI PESA ANAYOPATA KWA SIKUU SIJUI LINI MTAKUWA WATANZANIA MUWE NA UCHUNGU NA NCHI YENU...COMMERCIAL MANAGER KABISA KISA UNAKULA KULE JUU BURE MNAKUBALI

DONATI WANAUZIWA SH ALF TANO??CHAI ALF TATU??CHAKULA ANAUZA KWA DOLA 22 AMBAYO KWA SASA N ALF ARUBAININANNE KWA MTU MMOJA ACHENI UHANITHI JAMANI MFIKE WAKATI JPM INGIA MWENYEWE FRONT ONDOA HII MIKATABA YAKIPUUZI HAWA WAHINDI WASIMAMIWE BEI ZAO ZIENDE SAWA NA KIPATO CHA MWANANCHI.....KINASHOCHANGAZA CHAI YA INTER NA KULE NILIKUNYWA DOMESTIC SAME PRICE LOH
 
UJAJIULIZA KWA NINI KUNA NDEGE ILIONGEZRWA RTE KWA AJILI YA USIKU NA ALIPOTOKA MADARAKANI NA YENYEWE IKASTOP KUJA USIKU UJAJUA SABABU

NCHI IKO ICU

KIUHALISIA PROF MBAWALA ANAKAZI KUBWA SANA SANA...KUNA AIRLINE NYINGI ZIMEOMBA NAFASI LAKINI CHA AJABU KABISA WAKANYIMWA ANAPEWA HUO MSHENZI MCHINA ...NIKUSAIDIETU HUYO NDIE KINARA WA KUINGIZA WACHINA WASIO NA KIBALI KAMA UAMINI MCHEKI EMIRATES ETHIOPIAN ZIKITUA....

KILICHOFANYIKA JAMAA MMOJA WA IMMIGRATION NDIE ANAPIGA YEYE AKITUMIKA KAMA DALALI KUINGEA NA TAA KUWEKA MZIGO HAPO.....

ANACHOTAKIWA KUFANYA
COMMERCIAL MANAGER ARUDI MJINI UJENZI
HR ARUDISHWE MJIJI
FINACIAL MANAGER ARUDISHWE MJINI

WALETWE WAPYA ..LAKINI KABLA YA YOTE IPITIWE MIKATABA YOTE YA UWANJA WA NDEGE..NCHI INALIKA SANAA KUNA MHINDI KULE JUU ANALIPA KABANDA DOLA MIATATU NA VINGINE 700 KWA MWEZI PESA ANAYOPATA KWA SIKUU SIJUI LINI MTAKUWA WATANZANIA MUWE NA UCHUNGU NA NCHI YENU...COMMERCIAL MANAGER KABISA KISA UNAKULA KULE JUU BURE MNAKUBALI

DONATI WANAUZIWA SH ALF TANO??CHAI ALF TATU??CHAKULA ANAUZA KWA DOLA 22 AMBAYO KWA SASA N ALF ARUBAININANNE KWA MTU MMOJA ACHENI UHANITHI JAMANI MFIKE WAKATI JPM INGIA MWENYEWE FRONT ONDOA HII MIKATABA YAKIPUUZI HAWA WAHINDI WASIMAMIWE BEI ZAO ZIENDE SAWA NA KIPATO CHA MWANANCHI.....KINASHOCHANGAZA CHAI YA INTER NA KULE NILIKUNYWA DOMESTIC SAME PRICE LOH
Mkuu Pdidy haya ndio maeneo yako,hizi habari ni kweli kama mleta mada?hiyo ndege ya usiku iliyoacha kuja ni ipi?Kama huyo Mchina ndio agent wa wahamiaji haramu ina maana uwanja hauna watu wa Usalama wa Taifa?Na huyo Manager commercial ni wa kampuni gani?
 
Nikowizaran mkuu pale tunatumwagabkazi Fulani unatoanreport usihofu mabadiliko yanakuja soon
 
hilo nalolinahitaji hadi magufuli aingilie! hata balozi wa nyumba kumi analiweza
 
Raia wa kawaida ana kuwa na taarifa hizi alafu katibu mkuu wa wizara,waziri na naibu waziri eti hawana taarifa!!
Wewe siyo kila taasisi inatumbuliwa! Nyingine wana habari hizo kabla ya daktari kufika. Miradi mingi na vifaa/mitambo mibovu. Jamaa wameshaandaa majibu
 
Jamaa wamemkimbiza, kunywa CHAI JNIA, ili akanywee Mwanza, hasipate kujua "madudu" yaliyopo hapo.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom