Recent content by chimwemwe msumba

  1. C

    Mimi Deo Kisandu nimerejea Rasmi leo na uthibitisho huu.

    toka nimejiunga jf sijawahi Cheka kama Leo, hakika jamii forums ni burudani tosha siyo kwa comment hizi jamani
  2. C

    Hotuba nyingine sio za kusikiliza na watoto nyumbani

    haha haha haha haha aisee.
  3. C

    Ushauri wako kuhusu kumwamisha mtoto shule ya kawaida kwenda QT

    Habari wanajukwaa la elimu! Naomba ushauri kumtoa mtoto kwenye Shule za kawaida private akiwa ameshafaulu mtihani wake wa kidato cha 2, nimpeleke QT akaendelee na kidato cha 3 he inawezekana? Na kama ndio atasajiliwa upya na au itabidi afanye tena mtihani wake kidato cha ,2 huko QT?
  4. C

    Mtazamo wangu kuhusu ushiriki wa Yanga kwenye Mapinduzi mpaka hapo ilipoishia

    Nadhani huu mtazamo wako ungewapa viongozi was yanga kabla ya kushiriki mashindano ingependeza zaidi ya halo mimi naona ni majungu tu baada ya kutolewa je ungeshinda ungetoa ushauri huo?
  5. C

    Lwandamila OUT Plujin in

    Yanga mnaweweseka hatari
  6. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Napatikana muda wote kwa namba 0763107900 labda itakuwa network tu nipo mkundi minara 4 ni ndani ya manispaa sana jf wa Moro nawakaribisha hata wa maeneo mengine karibuni.
  7. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Sinajinasasa : nimeshajib u Mara nyingi ukifuatilia huu Uzi toka umeanza nakushauri tuonane nipo mkundi minara 4 ningekuona muungwana sana kuliko kunishutumu. Na mawasiliano yapo
  8. C

    Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena

    Wasiwasi wangu cjui kama ndoa yako itadumu maana waswahili walishasema bandu.......! Ungeendelea na msimamo wako ingependeza itokee mkeo afanye hivyo huko pembeni utajisikiaje
  9. C

    Ushauri please, mke wangu simuelewi, nimemkuta anasagana na mama yake

    Pole sana mkuu hii ni fedhea kubwa sana yaani mtu na mamaake wanasagana bado mwanamke mwenzangu anaonesha kiburi angejaribu hata kuomba msamaha kwani hajui kama wewe ni mumewe! Hajafanya vizuri jitahidi vumilia tu kutengana mtawapa shida watoto ndo mwanzo wa chokoraa mtaani
  10. C

    Mchumba nimempata ila...!!!

    Kama yeye alivyokuwa muwazi kwako kwa kukwambia historia kabla ya kukutana na wewe jitahidi nawe uwe muwazi kwake kwa kila kitu ili mfikie malengo naamini hakuna mkamilifu chini ya jua inawezekana ikawa afadhali ya Huyo kuliko utakae mtafuta tena.
  11. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Naishi morogoro mjini mkundi minara 4
  12. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    IPO morogoro mkundi namba za mkuu wa shule nimeshaiandika ambayo ni 0718518127 ya mm 0763107900
  13. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Nitakuwa sina maelezo zaidi ya hapo zaidi sana atakae kuwa na nia ya kunisaidia atanipigia simu kwa Maelezo ya ziada kwani namba nilishaiweka na mm siyo tapeli kama navyofikiriwa ila naheshimu mawazo ya kila Mmoja na ushauri niliopewa kuna walionielewa na wasionielewa niwashukuru tu wote haya ni...
  14. C

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Mwanafunzi anaitwa Hilda Francis akaunti ni ya shule ila ndo jina la mwenyewe shule ndo utaratibu wao hata kwenye fomu wameandika hivyo,
Back
Top Bottom