Recent content by Chaukarange

  1. Chaukarange

    Tunahitaji kucheza na kujituma ili kuhakikisha tunapata matokeo .

    Kushindwa kutumia vizuri nafasi za kufunga ni tatizo sugu kwa timu ya Taifa mpaka kwa vilabu
  2. Chaukarange

    House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

    Ndio huko wanapomwagia, sasa vuta picha harufu wanayokumbana nayo wakazi wa hayo maeneo
  3. Chaukarange

    House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

    Yale mabwawa ya majitaka kunaifanya Spenco ardhi yake ipoteze thamani kabisa
  4. Chaukarange

    TAESA yatoa fursa kujisajili upya

    Create account kwanza baada ya kumaliza nenda kwenye email yako kuna link ya kuactivate account
  5. Chaukarange

    Nataka kununua nokia g10 zinafaa kwa matumizi ya picha

    Kwa matumizi yangu huwa nachaji usiku mpaka usiku
  6. Chaukarange

    Nataka kununua nokia g10 zinafaa kwa matumizi ya picha

    Kama unahitaji simu kwa ajili ya picha kwa hiyo bajeti nadhani Google pixel 3a itakufaa, tena na chenji inabaki
  7. Chaukarange

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Usikute alikuwa mzee wa 10%
  8. Chaukarange

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Namuona Bruno akiongoza jahazi la kupoteza nafasi nyingi za kufunga
  9. Chaukarange

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kila siku wachezaji walewale na wanatoa output ileile. Kwanini wasipewe nafasi hata wale vijana kina Mejbri, Gernacho nk, kocha ana maneno mengi kuliko vitendo
  10. Chaukarange

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bruno anacheza vibaya ila ana bahati yeye wala hasemwi
  11. Chaukarange

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Afadhali aende tu
  12. Chaukarange

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    Ombi lake limefanyiwa kazi na awamu ya sita!
  13. Chaukarange

    JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

    Vipi boss JATU wanaendeleaje!?
  14. Chaukarange

    Kilimo na JATU: Je, kuna ukweli wowote?

    Vipi bado JATU ni fursa?
Back
Top Bottom