buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Yeah kwa kuwa na umoja mbele, mfano pale pa Fernandes angempa Ronaldo, Ronaldo chance ile ya mpira kugonga mwamba angesukumiza kwa aliye na upenyo.Refa kavu Sana. Sema hii mechi sio ngumu kwetu. Tukiwa serious tunashinda
Elanga angewaza kufumua sio Penalty.