Kilimo na JATU: Je, kuna ukweli wowote?

Kilimo na JATU: Je, kuna ukweli wowote?

Wakuu Wa Kilimo habari!

Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.

Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?

Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako
 
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako
Hiyo pdf inapatikana je mkubwa
 
Mkuu naona JATU wameingiza hisa zao DSE so inawezekana wapo real in the business me nitajaribu kwa uchache coz it worth to try than not nime calculate risk naona Bora nikatest na amount ndogo
Yaaah naona wemejiunga DSE! Huko watu wakinunua hisa zao kwa wingi watapata mtaji wa kuendesha shughuli zao, iikiwa ni pamoja na kilimo. Wanaweza kuwa serious, ni vizuri kujaribu with a minimal risk. Unajua, kilimo cha mashamba makubwa huwa na gharama ndogo na faida kubwa. Nadhani that is JATU's approach kuwa wanawekeza kwenye mashamba makubwa, yaani kutokana na "wanachama" wengi hivyo ku minimize gharama za uwekezaji na uendeshaji na hivyo kupata faida kubwa.
 
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako
Maelezo yako ni kweli kuwahusu JATU, binafsi sijasoma jambo lolote baya kuwahusu JATU. Watu wawajaribu, nadhani wako serious na hicho wafanyacho na hicho wanachowakaribisha wengine wafanye.
 
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako
Mkuu hizo 10% za Halmashauri ndio ziko je?
 
Mkuu hizo 10% za Halmashauri ndio ziko je?
Hizi ukiwa karibu sana na afisa maendeleo ya jamii wa kata yako ndiyo utakupa taarifa nyingi. 10% ni mikopo inayotengwa kila halmashauri kutokana na makusanyo ya mapato yake. Wahusika wa kukopeshwa ni vijana, wanawake na walemavu kupitia vikundi. Vikundi ni lazima waanzie watu 5 na wawe wamesajili kikundi wilayani. Walemavu kwa sasa anaweza kukopeshwa mmoja mmoja lkn bado kikundi cha walemavu kuanzia 3 hupewa kipaumbele. Umri wa vijana usizidi miaka 35. Kama ukizidi inabidi ujiongeze tu unakusanya wanawake kisha wewe unakuwa kama msimamizi wa mradi. Hii ni mikopo isiyo na riba dhamana ni kikundi chenyewe na inabidi mrudishe deni mlilokopa.
Masharti yanayozingatiwa ni
Kikundi kiwe kigezo, kiwe na akaunti ya benki, wahusika wawe na sifa kama ni vijana au wanawake au walemavu. Kisha utaandika mpango wa biashara na kisha kuupeleka kwa afisa maendeleo ya jamii wa kata kuuhakiki na kamati ya fedha ya kata itakaa ili kupitisha au kutopitisha. Ikimaliza kupitisha afisa maendeleo ya jamii atapeleka wilayani kwa ajili ya process zingine. Muongozo wa mpango wa biashara unapatikana kwa afisa maendeleo ya jamii.
Muda wa kupokea huwa wowote ule ila mwisho ni mwezi wa 12 .
 
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako
Mdau asante sana kwa info za Kina
 
Nina taarifa zao zipo kwenye PDF kuhusu kilimo cha mahindi, kilimo cha alizeti, kilimo cha mpunga, kilimo cha maharage Kilindi, na kwasasa wanaelekea kwenye kilimo cha parachichi baada ya kufanya utafiti wao, huwa naliona ghala lao la mpunga na wakulima wao liko Mbingu njia ukielekea Mlimba, kuna jamaa mmoja ambaye ni mnufaika huwa namuona lkn mimi huwa nachukua taarifa zao kwenye kuandaa michanganuo ya makisio kama nikiwa naandika mchanganuo wa biashara kwenda kwenye zile 10% kutoka halmashauri. Binafsi sijawahi kujiunga ila huwa napenda kuwafuatilia hao na TAHA , huwa nalima mimi mwenyewe kama mimi. JATU ni PLC taasisi inayomilikiwa na wanachama wenyewe (ya umma) ina ukitaka kuingia kuna gharama unatoa na kuna gharama Saccos yao inatoa kukukopesha hivyo lazima ijiunge na Saccos kununua hisa. Sijawahi kusikia taarifa za utapeli kutoka kwa watu ila kuna kushuka kwa bei ya mazao na kuna kupanda. Wakianzishaga mradi huanza majaribio kwa wao wenyewe kwanza kujua changamoto kabla ya kuwaambia wanachama wao.
Hadi hapo nadhani utakuwa umepata mawili, matatu akili kumkichwa kutokana na malengo yako

achana na story zao nyingi hawalipi kwa wakati ni mwaka sasa jamaa yangu hawajamlipa almost 10millions
 
Cc. Mr Kuku
DECI
Q NET & Co.

Kuna kamsema maarufu humu; ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa

Tusubiri wanufaika waje waseme neno
Kuna kitu kimoja nimekiona sana humu JF; kuna watu wanajua fika kwamba kitu au jambo fulani ni FURSA ya kuwatoa watu kimaisha LAKINI watakuja humu na kuikandia hiyo FURSA na kuwaonesha wana JF kuwa hiyo si chochote wala lolote, watasema huo ni utapeli tu, LAKINI wao wanawekeza huko na kuzichangamkia hizo FURSA. Hii ni roho mbaya iliyoko humu JF na inafifisha jitihada za wana JF kujikwamua kiuchumi.
Sasa tufanye nini? Nashauri wana JF mfanye utafiti binafsi mara zitokeapo fursa kama hizo na mjiridhishe wenyewe kipi ni kipi na nini ni nini badala ya kufuata maneno ya kukatishana tamaa humu JF. Yaani akili za mwingine changanya na zako. Kwa utaratibu huo lazima TUSHINDE.
 
Kuna kitu kimoja nimekiona sana humu JF; kuna watu wanajua fika kwamba kitu au jambo fulani ni FURSA ya kuwatoa watu kimaisha LAKINI watakuja humu na kuikandia hiyo FURSA na kuwaonesha wana JF kuwa hiyo si chochote wala lolote, watasema huo ni utapeli tu, LAKINI wao wanawekeza huko na kuzichangamkia hizo FURSA. Hii ni roho mbaya iliyoko humu JF na inafifisha jitihada za wana JF kujikwamua kiuchumi.
Sasa tufanye nini? Nashauri wana JF mfanye utafiti binafsi mara zitokeapo fursa kama hizo na mjiridhishe wenyewe kipi ni kipi na nini ni nini badala ya kufuata maneno ya kukatishana tamaa humu JF. Yaani akili za mwingine changanya na zako. Kwa utaratibu huo lazima TUSHINDE.
Vipi bado JATU ni fursa?
 
Kuna kitu kimoja nimekiona sana humu JF; kuna watu wanajua fika kwamba kitu au jambo fulani ni FURSA ya kuwatoa watu kimaisha LAKINI watakuja humu na kuikandia hiyo FURSA na kuwaonesha wana JF kuwa hiyo si chochote wala lolote, watasema huo ni utapeli tu, LAKINI wao wanawekeza huko na kuzichangamkia hizo FURSA. Hii ni roho mbaya iliyoko humu JF na inafifisha jitihada za wana JF kujikwamua kiuchumi.
Sasa tufanye nini? Nashauri wana JF mfanye utafiti binafsi mara zitokeapo fursa kama hizo na mjiridhishe wenyewe kipi ni kipi na nini ni nini badala ya kufuata maneno ya kukatishana tamaa humu JF. Yaani akili za mwingine changanya na zako. Kwa utaratibu huo lazima TUSHINDE.
Ndugu nadhan hao JATU aka CHATU. Washakupa gawio lako mda huu upo meza za juu hapo SERENA HOTEL

Kama bado unahela njoo kampuni yetu tuwekeze inaitwa CHUI PLC

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu TAJIRI MSOMI huo ni utapeli, sikushauri hata kidogo. Ingia Shambani mwenyewe ukalime, kilimo cha simu ni utapeli mkubwa. Kama unayo hiyo hela fanya uwekezaji mwingine kama huna muda wa kulima au kuingia shambani ukasimamia kwa asilimia 100.
Na kama hana muda wa shamba asubiri muda wa mavuno anunue kwa bei mtelezo auze bei ikipanda.Kama Bado upo hai, ni miaka miwili sasa
 
Asante sana Wote, nilichukuwa uamuzi wa kutokuwekeza JATU PLC, kama bahati vile, Juzi waziri wa Kilimo amesema JATU ni kampuni ya kihuni na inawaibia Watanzania, na kwasasa ipo chini ya uchunguzi
 
Na kama hana muda wa shamba asubiri muda wa mavuno anunue kwa bei mtelezo auze bei ikipanda.Kama Bado upo hai, ni miaka miwili sasa
Nipo Hai mkuu, asante kwa ushauri, Jatu inaelekea kufa
 
Back
Top Bottom