JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Vipi boss JATU wanaendeleaje!?
 
Duu nilishafanya nao mchakato nijiunge na jatu wamenambia ada ni 30,000 ndo nlkuwa najipanga niingie,wanasema wanatoa mikopo isiyo na riba afu uwe active member,at least everythree months uwe unanunua bidhaa zao.

Wanakupa mchanganuo wa gharama za kulima zao fulani kisha Wanakutafutia shamba, wanakulimia(vibarua+madawa/mbolea), wanakuhifadhia wanakutafutia soko then utalipwa kutokana na bei ya soko la zao husika
kirahisi rahisi hivi??? akulimie, akuvunie, akuuzie akupe pesa.....teh teh teh
 
Kuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.

Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.

Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa victim.

Hawa watu huwa kujitangaza sana ndo jadi yao, kufanya mikutano kwenye hoteli kubwa kubwa ndo jadi yao ila zote hizo huwa ni mbinu za kuvuta watu waingie wapigwe pesa.

Kama JATU anaona kilimo kinalipa kwa nini asiingie akalima pekee akapiga pesa? Kwa nini asichukue mkopo alime huko kiteto apige pesa? Mbona Summury analima pekee yake huko kwao Sumbawanga?

Watu wawe makini na hizi Pyramidi za kwamba toa pesa ulimiwe. Kwa nini asilime yeye?

Mboma MO hawaiti watu wakalime katani huko Tanga? au mbona Interchick hawaambii watu waende wafuge wote kuku?

Jamani tujizidishe Watanzania tunapigwa kirahisi sana.
Uliona mbali sana, hatimaye watu wanalia
 
Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS

Kampuni ya wazawa vipi tena?
 
Back
Top Bottom