Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwahiyo Rashford aliwahi kumzidi Mane sio?

Kweli wewe ni Chief manake hakujawahi kuwa na Chief mwenye akili ndiyo mana waliishia kuuliwa na Wajerumani.
Season zote mbili Chini Ya ole Rashford kaperform much better kuliko Mane. Nimetoa data zangu juu kama una ushahidi mzuri tuletee Mane alikuwa Mzuri kuliko Rashford, especially last season.
 
Rashford ni winga kwa asili. Assuming he is so good kama unavyodai kwanini namba akaichukua Greenwood na sasa Elanga? Na Sancho akaletwa kwa ajili ya ishu hizo hizo za wings.

Kwakua ni goal scorer mzuri as you say na amecheza ST mara nyingi sasa kwanini same position imewatesa united mpaka akanunuliwa ighalo, Cavani na sasa ronaldo?

Anakaa benchi kufanya nini? Umewahi ona Mbappe au Haaland anakaa benchi mechi muhimu na siyo majeruhi? Rashford kashakaa mara ngapi? Unasema psg wanamtaka hata kesho. Walipeleka ofa ya bei gani kwa united ikakataliwa?

Rashford anatakiwa awe 1v1 na kipa mara ngapi ili ascore goli moja? Mbappe na Haaland wanahitaji nafasi ngapi?

Mbappe na Haaland wamewahi letewa watu wa kujaza nafasi zao na wao wakakaa benchi kwa ajili ya ujio wa hao watu? Akija Icardi hapo united unaamini atakosa namba kwakua Rashford yupo?

Nilichogundua huyo hakubali chochote kitakachokuwa against na Rashford hata kama ni Fact
 
Season zote mbili Chini Ya ole Rashford kaperform much better kuliko Mane. Nimetoa data zangu juu kama una ushahidi mzuri tuletee Mane alikuwa Mzuri kuliko Rashford, especially last season.

Hujaleta Data yoyote Ndugu Bali umeeleza hisisa tu ambazo kikawaida Huwa hisia haziprove facts.

Ungeleta hizi 👇ndiyo ningetafsiri kuwa ni Data.

Mane v/s Rashford

Season: ??
Game played: ??
Goal Scored: ??
Assists: ??
Chance created: ??
Key Passes: ??
Crosses: ??
Number of Shots: ??
On Targets: ??
Takes on: ??
Dribbles: ??
Minutes per goal: ??

Kama hujui hizo ndiyo zinazoitwa Data na ndiyo tunapaswa kuzitafsiri, ungeleta hizo na sio hisia zako.
 
Mkuu Hii ni Kazi ya Kocha,

-Greenwood Hayupo,
-Rashford kwangu ni key Player,
-Maguire namuachia Kocha,
-AWB ana umuhimu wake ila Kama kocha hamuelewi beki wa Kati anaweza kumreplace role yake.
-Shaw key player, Full back pekee Utd anaejua kukaba na kushambulia.
-lingard anaondoka
-Mc tominay sio lazima aanze mechi zote ila Tunahitaji Uhuni wake
-Sancho Key Player.

ETH aje tu na DM kwa sasa, then Baada ya Hapo Tutajua Mbivu na Mbichi.
Hao kina Rashford, Magwaya, Lingard, Martial na Jones waondoke alafu kina Shaw, Fred na Mctomy wapunguziwe dakika za uwanjani tutafute replacement zao kama kweli tunataka utd irudi.
 
Hao wachezaji akili zimeshafika mwisho na vipaji pia.

Binafsi sioni haja ya kushikilia mchezaji kisa ni key player wakati huko uwanjani atafanya madudu.

Bora iwe mechi 1 au 2. Sasa mechi zote mambo ni yaleyale.

Hakuna jinsi ukawatetea Rashford, Maguire, Bissaka mashabiki wakakuelewa.

Hao wengine kama Shaw na McTomminay unaweza ukaeleweka. Ila hao watatu wamesha-prove failure.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu.
 
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha.

Prediction arsenal 0 Manchester united 3
20220405_060904.jpg
 
Rashford hajacheza kulia tofauti na msimu huu makocha wote Kuanzia LVG, Mou mpaka Ole anatumika kushoto ama Kati. Labda kwenye mechi kidogo aende kulia ila hajawahi kucheza mfululizo hio namba

Lini Pogba akacheza pembeni na Rashford yupo? Pogba alicheza kushoto Rashford alipofanyiwa Operation ya Mgongo. Na Ole hakumnunua Sancho kuja kumuweka Benchi Rashford, 2 different players ambao wanacheza pamoja.


Acha kuongea usivyovijua hio 4222 haina winga. Na kubase Argument zako kwa kocha wa Muda kumuelezea Rashford wakati yupo zaidi ya miaka 6 ni useless.

Uongo unaendelea lini Ralf kacheza na Chelsea? Toka Ralf awe kocha wetu hatujawahi kucheza na Chelsea.
Hizo siku anazokua mzima na bado hagewi namba kukaa huko pembeni unaziongeleaje?

4 2 2 2 haina winga au siyo? Simply means hata kocha wa muda hakumuamini Rashford so what?

Formation ilikua 4 3 1 2 mechi ilitoka suluhu ya moja moja. Na ni kweli kocha hakua Ralf.

Regardless bado hakuna kocha ambaye alimuangalia Rashford akasema "Huyu ni Mbappe/ Haaland siwezi muweka benchi"

Rashford anaweza jikuta timu pekee yenye hadhi atakayochezea ni united. Waweza sema same story kwa Mbappe na Haaland?
 
Hujaleta Data yoyote Ndugu Bali umeeleza hisisa tu ambazo kikawaida Huwa hisia haziprove facts.

Ungeleta hizi 👇ndiyo ningetafsiri kuwa ni Data.

Mane v/s Rashford

Season: ??
2020/2021
Game played: ??
Mane 48 Rashford 57
Goal Scored: ??
Mane 16 rashford 21

Assists: ??
Mane 9 Rash 15
Chance created: ??

Key Passes: ??
Mane 1.7 Epl na 0.4 UCL average 1.05
Rash 1.2 Epl na 1 UCL averga 1.1

Crosses: ??
Probably less than one kwa wote
Number of Shots: ??
Mane epl 2.7 na ucl 1.7 average 2.2
Rash epl 2.1 na ucl 2.1 average 2.1
(hapa inavunja hoja yako kwamba Rash anahitaji kupiga mashuti mengi kufunga, infact amepiga machache na kufunga goli nyingi compare na Mane aliepiga mengi na kufunga machache)
On Targets: ??

Takes on: ??
Dribbles: ??
Mane epl 2.3 na UCL 1.2 average 1.75
Rash epl 2.2 na Ucl 2.7 average 4.45
Minutes per goal: ??
Ukisort per min Goals
232 per goal Rash 197
Kama hujui hizo ndiyo zinazoitwa Data na ndiyo tunapaswa kuzitafsiri, ungeleta hizo na sio hisia zako.
Haya Soma hizo data Niambie last season Nani alikua Bora.
 
Hizo siku anazokua mzima na bado hagewi namba kukaa huko pembeni unaziongeleaje?

4 2 2 2 haina winga au siyo? Simply means hata kocha wa muda hakumuamini Rashford so what?

Formation ilikua 4 3 1 2 mechi ilitoka suluhu ya moja moja. Na ni kweli kocha hakua Ralf.

Regardless bado hakuna kocha ambaye alimuangalia Rashford akasema "Huyu ni Mbappe/ Haaland siwezi muweka benchi"

Rashford anaweza jikuta timu pekee yenye hadhi atakayochezea ni united. Waweza sema same story kwa Mbappe na Haaland?
Hio Logic unayoleta haina mantiki, kwa hio Scholes, Giggs, Neville, na wengineo walikuwa ni wachezaji wabaya? Sababu timu yenye Hadhi ni Man united?

Ni ngumu sana Mchezaji mzuri wa Academy kutoka Club yake unless kuwe na Zengwe.

Na Mkuu kwenye Mpira kuna falsafa kila Kocha na mbinu zake, Pep hakuwezana na Ibra Alikaa sana Benchi, Ibra ni Mchezaji mbaya? Mou na kaka, Pep na Ronaldinho, Mou na Shevchenko na wengine wengi tu.

Msimu uliopita Rashford kacheza mechi 37 epl na mechi 6 UCL kamiss mechi 1 tu unasemaje anakaa bench? Kwenye mifumo ambayo yeye ni. Muhimu kama wakati wa Ole sijamuona akikaa Bench, hata miaka 25 hajafika Tayari anamechi karibia 300.
 
Tena mapema sn avuliwe kitambaa.
Mimi nawalaumu sana mashabiki wa Man United wanaokua uwanjani halafu wanamkaushia huyu mjinga, ilitakiwa kila akigusa mpira tu mashabiki wote wanamzomea mpaka yeye mwenyewe ataomba akae bench.
Uongozi wa United wanatufanyia dharau ya makusudi kabisa mashabiki kwa kung'ang'ania kumchezesha Maguire hali yakua wanajua hana msaada wowote na timu zaidi ya kutuchomea nyumba.
 
Mimi nawalaumu sana mashabiki wa Man United wanaokua uwanjani halafu wanamkaushia huyu mjinga, ilitakiwa kila akigusa mpira tu mashabiki wote wanamzomea mpaka yeye mwenyewe ataomba akae bench.
Uongozi wa United wanatufanyia dharau ya makusudi kabisa mashabiki kwa kung'ang'ania kumchezesha Maguire hali yakua wanajua hana msaada wowote na timu zaidi ya kutuchomea nyumba.
Huyu fala anai-disrespect sana badge. Kuna siku nilirusha chupa ktk Tv yangu kwa hasira alitoa boko ile mechi ya Leicester.
 
Back
Top Bottom