Recent content by CHANZO

  1. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Ziara za ACT - Wazalendo zawapagaisha CHADEMA

    Mkiambiwa lengo lenu kuu ni kupambana na CHADEMA mnakataa...
  2. CHANZO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Kaolewa na mzee anataka niwe nae naogopa

    Wewe utakuwa Supu ya Mawe
  3. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

    Huyo wife ndio huwa anakupa vibao mara kwa mara?
  4. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Waziri mwenye dhamana uko wapi? Piga marufuku mavazi ya ajabu tumechoka

    Hoja nzuri, lakini Kiepe Yai kwa mtiririko wa post zako inaonyesha upo kinyume na hoja hii, yani wewe ndio unataka vimini vviendelee kupandishwa juu zaidi
  5. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Nimeokota simu mwenye simu amesema nimrudishie anipe papupichi

    Huo ni wizi saa, huna dini wewe, au huwa hauendi misibani ukaona kuwa ipo siku takufa ukiwa na simu ya dhuruma.hebu mrudishie BURE simu yake.
  6. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Hawa ni wasanii waliohit na ngoma moja na kupotea

    Picco- Kikongwe...
  7. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi unaendelea kuitafuna CHADEMA

    Hahahaa na yule wa Nzega.... sijui vip
  8. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Lulu Michael: Kuhongwa ni presha tu

    Chanzo cha habari plz
  9. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Mtunzi bora wa muda wote, Muziki wa Bongo Flavour

    Toka niga J wa chemsha bongo, hadi yule Prof J, wa bongo dar es salaam, Ndio mzee, Salamu Bibi na Babu,Jina langu, Tathimini, Niamini,Machozoi jasho na Damu, akaja yule, Sio mzee, Msinitenge.....Huyu jamaa anafaa kuwa namba moja wengine waanzie namba 3.
  10. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wanachafua gemu la muziki na wasanii wao

    Kabla ya ujio wa hawa jamaa, ilikuwa kila mwenye uwezo na kipaji lazima atasikika na kutusua. Yaani msanii akiwa na uwezo lazima atapenya tu, Redio zote zilikuwa zikitenda haki. Sasa ujio wa hawa jamaa (Mamenejaa), mbali na mambo mengine, mimi naona sasa hivi ndio wanaamua nani atoke nani...
  11. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Wapi Nurueli?

    Tupo wengi tunaomkubali sema gemu gumu vipaji sio tena dili, dili ni kuwa na connection.....Jamaa anakomaa na gemu kuna wimbo mpya wa Kala jeremia ameimba kiitikio....wewe jiulize hivi Nuh Mziwanda anaimba nini hadi apate shows na air time ya kutosha?
  12. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi na urais 2015

    Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendera ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
  13. CHANZO

    JamiiForums Tanzania Charlie Hebdo: Makanisa yachomwa moto Niger

    Si dhani kama kuna dini inafanya hivi....bali ni watu ndio wanafanya hivi...ila sasa reaction ya dungu zetu huwa inakwenda kwenye dini fulani...hebu waje waseme hapa wanafundishwaga nini huko madrasa
  14. CHANZO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Changamoto zinazoleta ugumu kwa single mothers kuingia tena kwenye ndoa

    Umepanic!!!
  15. CHANZO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Changamoto zinazoleta ugumu kwa single mothers kuingia tena kwenye ndoa

    Duh hehhehehe wewe kweli noma..ila unaonekana unaogopa sana kugongewa....umesahau kuwa hata kama haja zaa anaweza kuwa na mtu wake ambae anaweza kumgegeda muda wowote?...
Back
Top Bottom