Dr. Nchimbi na urais 2015

Mwaka huu ukija kuisha wengi mtakuwa Mirembe,sasa eti naye Nchimbi ana timu ya kusaka uraisi alafu anamtuma huyu ----
amsemee aone JF ina maoni gani. Mwambie hauziki na lile jimbo la Songea Prof.J ndo atakalogombea kwa hiyo atakuwa raia wa kawaida
siasa ya Songea ina wenyewe. Muulize Mwanasheria Mbogolo
 
Mwaka huu ukija kuisha wengi mtakuwa Mirembe,sasa eti naye Nchimbi ana timu ya kusaka uraisi alafu anamtuma huyu ----
amsemee aone JF ina maoni gani. Mwambie hauziki na lile jimbo la Songea Prof.J ndo atakalogombea kwa hiyo atakuwa raia wa kawaida
Tukutane hapa hapa kwenye uzi huu November, 2015. Take heed!
 
Wanabodi,

Nimetafakari kidogo bila majibu kwa nini Serikali, baadhi ya Usalama wa Taifa na baadhi ya Wakuu ndani ya CCM wanakuwa wanafiki kiasi hiki juu ya wagombea watarajiwa ambao tayari wamepanga timu zao za maandalizi.

Kwa walio karibu na "corridor of power" hakuna asiyejua state inavyomuandaa John Emmanuel Nchimbi kama mteule mpya wa Mkuu wa Kaya kumrithi pale Magogoni. Mipango yake na harakati zote zinaratibiwa na State. Lowassa anajua, Pinda anajua, Membe anajua na wengine tumepata kujua. Sasa kwa nini kila kukicha wapambe wameng'ang'ana na Lowassa tu kama vile wengine hawafanyi?

Binafsi simaini kama kuna mtu anatarajia kufanikisha jambo lolote maishani bila maandalizi, mikakati na jitihada. Hawa wanaowaandaliawengine ufalme kwa nini hawataki kuona wala kusikia wengine wenye Uwezo wa kujiandalia wakifanya hivyo? Miujiza huonekana kama vitu vitokeavyo bila kutarajiwa lakini nayo ili mtu imtokee lazima afanye maandalizi i.e kutubu, kujitakasa, na kusali kwa imani. Kwa nini hawa "wenye mteule wao mfukoni" hawataki kusikia wenye uwezo wakijiandaa?

Kuanzia sasa nami natangaza kujiunga na timu Lowassa ili nikajue kwa nini anahofiwa kuliko wengine wote.
Mkuu Omu, hii ndio naiona leo!, KUMBE ILE TETESI INAWEZA KUWA KWELI!.

Pasco.
 
Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendera ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • nchimbi3.JPG
    nchimbi3.JPG
    27.6 KB · Views: 3,720
  • nchimbi2.JPG
    nchimbi2.JPG
    38.3 KB · Views: 3,815
  • nchimbi1.JPG
    nchimbi1.JPG
    50.8 KB · Views: 3,665
  • nchimbi4.JPG
    nchimbi4.JPG
    47.7 KB · Views: 3,649
Ha ha ha ha!Nchi hii full comedy....Eti Nchimbi awe President, For which trackrecords? CCM is stooping so low!
 
Let me tell you my friend, there is only two people who have what it takes to preside this once was a beautiful nation;Dr John Maghufuli and Dr Wilbrod Slaa.My third favourite was Dr Salim Ahmed Salim but the time is ticking against him now.
 
His excellency president Dr Emmanuel nchimbi. Watu Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..
 
Mkuu umelewa siyo bure utakuwa umelewa tena pombe kali kweli.
 
Mpenda vident....nchi hii full comedy akuna maadili hapo hata kidogo na afai
 
Mamaaaaaa aaah!
Ngoja nipite tu, ila unamaanisha Nchimbi huyu wa kwenye picha hapo juu??????
 
kweli CCM wameishiwa mtu ambaye kata zake zote za mjini zinawakilishwa na MADIWANI CHAMA CHA UPINZANI na mitaa yote imejaa vyama vya upinzani anaweza shawishi taifa?

Songea mjini ( ambako ccm walikuwa wanafanyisha watoto gwaride)
Mfaranyaki
Lizaboni
Majengo
Bombambili
Mateka
Luhuwiko
 
Back
Top Bottom