Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

ndoto ni bayana. tunapata maonyo, mafundisho, tunaelezwa yajayo thro ndoto. sema huwa tunazidharau, in short unaonywa kuwa ukiendelea na tabia hiyo, kuna matatizo makubwa yatatokea! unachotakiwa ni kuacha. naamini hadi ukaamua kumuoa huyo mdada instead of ur mchepuko uliyekuwa naye kabla, means that dada is the best. so tulia na ndoa yako kuepusha matatizo. unaweza kusema 'aah! kwan wakipigana ndo nn!..' bt kumbuka lolote laweza tokea kwenye hizo ngumi mkaanza mambo ya polisi, hosp nk. which is wastage of time na kushushiwa heshima
 
hahahah,can imagine,crazy things done for love,
js dnt admit cheating itamuumiza tu
 
Huyo wife ndio huwa anakupa vibao mara kwa mara?
 
kweli uzinzi hauishi, unaoa alafu unakubaliana na mtu kuwa muwe mnachepuka hali akijua una mke! Kwa nini usingemuoa yeye mchepuko sasa mkuu maana inaonekana umekuwa nao kabla ya kuoa

Yeye nilimwambia kabisa hakuna ndoa wala mimba, na nilipopata mke nilimpa taarifa akakubali kwa moyo safi
 
Naona vistory viliisha, utakuwa umenunua novel mpya.

Kwa hiyo wewe katika maisha yanayokuzunguka hakunaga vitu vinavyotokea, kila utakacholeta humu basi umetoa kwny novel!!
 
ndoto ni bayana. tunapata maonyo, mafundisho, tunaelezwa yajayo thro ndoto. sema huwa tunazidharau, in short unaonywa kuwa ukiendelea na tabia hiyo, kuna matatizo makubwa yatatokea! unachotakiwa ni kuacha. naamini hadi ukaamua kumuoa huyo mdada instead of ur mchepuko uliyekuwa naye kabla, means that dada is the best. so tulia na ndoa yako kuepusha matatizo. unaweza kusema 'aah! kwan wakipigana ndo nn!..' bt kumbuka lolote laweza tokea kwenye hizo ngumi mkaanza mambo ya polisi, hosp nk. which is wastage of time na kushushiwa heshima

Mawazo yako ni bora sana mkuu, kuliko wengine wanaokimbilia kusema kuwa hizi ni story za kwny novel
 
Huo mguno mbona ni kama wa jimama flani hapa mtaani kwetu ni li mbea vibaya sana

Loh!! wew kweli balaa unajua hadi miguno ya mijimama, aisee ndio mimi tunaishi mtaa mmoja nakuonaga unavyohangaika na mahouse girl wetu hapa mtaani.

Ha ha aha ha ha ha ha!!!!!
 
Back
Top Bottom