Recent content by Chakumenyele

  1. C

    Mgodi wa North Mara unaingiza hasara ya $1,000,000 kwa Siku

    Wanatengeneza hasara,ili wakienda mahakamani watunyoe kwa chupa
  2. C

    Naomba msaada baba yangu yupo kwenye hali mbaya sana

    Kama madaktari wameamua mpelekeni akakatwe,siku hizi kuna miguu ya bandia.akipona ataendelea na shughuli zake
  3. C

    Ni changamoto gani unayokutana nayo unapokutana na marafiki waliofanikiwa katika maisha?

    Msela wa Manzese we kauzu kweli teh teh! Mimi nilipata ajali na kupoteza kiungo cha mwili.napozungumza na nyinyi hata wale niliokuwa nakunywa nao bia siwaoni.
  4. C

    Msaada wa ushauri katika kipindi hiki kigumu nilichonacho na Mungu atakubariki

    We sema chaka ulilotupwa haijalipenda.ushauri,mshahara ukiingia watumie nauli wadogo zako wakufuate uliko
  5. C

    Ni halali kulipa madeni ya shule ya enzi za Kikwete ndani ya mfumo wa elimu bure?

    Na leaving certificate nataka kukata cheti cha kuzaliwa. Cheti cha CSEE hawakihitaji. Hongera kwa juhudi ulizofanya.Kama unadaiwa pesa nyingi mtafute Mwalimu au sekretari wa headmaster then uongee nae kiutu uzima kwa kumpa pesa ya nyama,naamini atakupatia.
  6. C

    Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

    Jinga limecoPy kwa the bold,hata kumPa credit halitaki.
  7. C

    Ni halali kulipa madeni ya shule ya enzi za Kikwete ndani ya mfumo wa elimu bure?

    Wewe living certificate itakusaidia nini?wakati kuna Result slip.au ulitaga ndo unataka kutumia iyo kuombea vibarua,Maana inaonekana umemaliza mudaa
  8. C

    Wito: Tumchangie binti asiyekuwa na mikono aweze kupata mikono ya bandia Ujerumani

    Ila nashauri ITV ingechangisha au taasisi zinazoeleweka.
  9. C

    Yamenikuta...Mahindi yanaharibika shambani

    Pole!hiko ndo kilimo,vumilia.pia usisahau kumuona bwana shamba
  10. C

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kama unalima kusini masoko ni ya uhakika,hasa msimu ukianza. Cha kuomba ni bei iwe nzuri, kwa sasa komaa shambani kwani kilimo kinahitaji usimamizi.
  11. C

    Ili niwe Rubani wa Ndege Nifanyeje?

    Bado unaweza kutimiza ndoto zako.zichange then ukasome
Back
Top Bottom