Msela wa Manzese we kauzu kweli teh teh! Mimi nilipata ajali na kupoteza kiungo cha mwili.napozungumza na nyinyi hata wale niliokuwa nakunywa nao bia siwaoni.
Na leaving certificate nataka kukata cheti cha kuzaliwa. Cheti cha CSEE hawakihitaji.
Hongera kwa juhudi ulizofanya.Kama unadaiwa pesa nyingi mtafute Mwalimu au sekretari wa headmaster then uongee nae kiutu uzima kwa kumpa pesa ya nyama,naamini atakupatia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.