Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,537
Nahisi huwa una matatizo ya akili. Kama huna matatizo ya akili basi una tabia Fulani hivi ya kujiona unajua kila kitu na wanachojua wenzio na mawazo yao huwa unayaona ni ujinga. Ni hatari sana kuishi na MTU mwenye Tabia hizo.Hoja yangu haikuwa katika Kitendo ambacho kimsingi hata Mimi nakipinga ILA sijapenda aina ya Uandishi wa Kichafuzi wa kutumia Tasnia ya Mtu kama kutaka kumdhalilisha au kuidhalilisha Taasisi yake husika. Ni suala tu la Mtu binafsi hilo isipokuwa Wewe tatizo lako huwa unapenda mno kukurupuka kutaka kunijibu na nilidhani zile dozi mbili tatu nilizokupa huko nyuma zilikunyoosha na kukufundisha kitu.