Recent content by CAVENDISH

  1. C

    Hii ni Nadra Sanaa Kumkuta Mwanaume Wa Dar

    Hawa watu wa Dar kweli wamewaudhi nini mbona kila siku ni wao tu
  2. C

    MB za Vodacom zina chuma ulete?

    Mimi nimehamia airtel muda sana natumia 1500/= kwa wiki kupiga simu dakika 150 na sms lukuki na kwa internet ni halotel 500/= kwa wiki mb 600
  3. C

    Idd Amin Dada

    Thank you madam Sky Eclat
  4. C

    KULIMBIKIZA VYEO: Rais Magufuli ateua mtu mmoja vyeo viwili na mikoa miwili tofauti

    Uko makini kufuatilia. Unamasilahi nini mkuu Shark
  5. C

    Ali Kiba anaongoza shindano la African NAFCA

    Kwa nini? hebu eleza kidogo tafadhali
  6. C

    Ali Kiba anaongoza shindano la African NAFCA

    Hawa jamaa naona wamekuwa kama Messi na Ronaldo, sijui nani ni nani sasa. Mnatuchanganya
  7. C

    Picha: Bwana harusi afariki ajalini akitoka katika sherehe ya send-off

    very sad! ningekuwa mimi sijui ingekuwaje. pole kwa aliyekuwa bibi halusi mtalajiwa
  8. C

    Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

    Tunabe ba vitabu vya kusoma
  9. C

    Msaada: Namna kupata leseni ya biashara

    Kwa hiyo kodi unalipa mara mbili, TRA na Halmashauri?
  10. C

    True story: Kosa ni la nani?

    Ooopfu imeta ghaflaa
  11. C

    Migogoro ndoa za wasomi

    Mkiwa mmependana kweli hakuna cha kuteresha ndoa yenu
Back
Top Bottom