Crdb sio benk kabisa sikuhizi...mimi nilitumiwa pesa kutoka nje ya nchi, ikawa imekosewa namba moja ya akaunt ila information nyingine zote sana, huwezi amini ile hela ilikaa takriban wiki moja wameihold, sasa sijui waliiweka akaunt gani manake kwangu haikuingia na wala hawaku irudisha ilipotoka...
Unajua bana hata wakati vyama vipya vya siasa vimeanza ccm hawakushtuka...ila sasa wanajuta wanachokiona..mimi nalifananisha hili na clouds....mnasema vinega wavuta bang nk lakini radio kama times fm ndio wale wanaowadhamini na kuwaweka hewani mara kwa mara, na hata redio nyingine zina piga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.