ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Superman kwa mapicha picha ya totoz nakuaminia. Lol.
ukiona hivyo anaziangalia kwa mbali..
Superman kwa mapicha picha ya totoz nakuaminia. Lol.
Jacqueline Ntuyabaliwe yupo hapa bongo akibadilisha wanaume kila kukicha.
Nancy Sumari juzijuzi katoka kuzalishwa na mzungu. Nasikia ni mume wa mtu.
Nice thread. . sikuwai kufurahia ushindi wa richa adhia, nasreen karim, angela damas! in particular order, walibaki wenginevilibidi nizoee tu! my bestiest from that list, Nancy sumari, jackline ntuyabaliwe, happynes magese, miriam ikoa, faraja kota. in particular order lol. .
Masahihisho kidogo mkuu,Nancy Sumari hajazaa na Mzungu(sio muke ya mudhungu) kazaa na Luka mmiliki wa mtandao wa Bongo5,sidhani kama ni mzungu ila ni mweupe hasaa nadhani ni mixrace,na Jackline Ntuyabaliwe kwasasa anamilikiwa na mkurugenzi mkuu wa IPP media na fununu ni kwamba kwasasa ni mjamzito!!
Nawakilisha
kama hiyo picha uliyoiweka hapo ni yako. wewe ni mrembo haswaa no doubt.Duh kazi ipo bas na mie niweke yangu labda naweza kuwa mrembo hahha hahahha
duh, huyu babu amecharuka kuzikamatia mbunye? yaani totoz wote wazuri unasikia mzee kapitaMasahihisho kidogo mkuu,Nancy Sumari hajazaa na Mzungu(sio muke ya mudhungu) kazaa na Luka mmiliki wa mtandao wa Bongo5,sidhani kama ni mzungu ila ni mweupe hasaa nadhani ni mixrace,na Jackline Ntuyabaliwe kwasasa anamilikiwa na mkurugenzi mkuu wa IPP media na fununu ni kwamba kwasasa ni mjamzito!!
Nawakilisha
vipi kuhusu Aina Maeda...Saida Kessy....Shose Sinare.....Hoyce Temu....Sylvia Bahame
Huo mdomo...inaonekana ana uzoefu wa kudaka mic..na kulamba koni!
Pichani ni Nadya Mohamed,Miss Kinondoni mwaka 2006.Pamoja na kushinda taji la mwaka huo la kitongoji cha Kinondoni,Nadya hakuweza kushiriki mashindano ya Miss Tanzania mwaka huo kutokana na kuzuiliwa na wazazi wake kufanya hivyo kutokana na sababu za kidini.Je unadhani huo ulikuwa uamuzi sahihi kutoka kwa wazazi?
Making A Difference!!!TANZANIA ONE MISS WEMA SEPETU
Source: just presenting Tanzania - My family & friends
mwaka View attachment 1715502003 alikuwa hhuyu mwanamke huyu nilimpenda na nitampenda dauma, mumewe anisamehe, kwani, huyu sijapata mfano wake.Wako Wapi Hawa na wanafanya Nini?
1960: Carmen Lesley Woodcock
1995: Emily Adolph
1996: Shose Sinare
1997: Saida Kessy
1998: Basila Mwanukuzi
2002: Angela Damas
2005: Nancy Abraham Sumari
2006: Wema Isaac Sepetu
2007: Richa Maria Adhia
mwaka View attachment 1715502003 alikuwa hhuyu mwanamke huyu nilimpenda na nitampenda dauma, mumewe anisamehe, kwani, huyu sijapata mfano wake.
kitabioa, anavuta sigara, pombe kidogooo, lakini she is marvelous
picha ya shose sinare plz