Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Wacha kanyee ndoo, kalifanya umalaya sana huku mitaani!
Dah watu mna muda kweli hadi mnaanza kufuatilia kesi za watu
Wadau wenye update kesi ya lulu leo 23/04/2012 watupe!!
Nawasilisha
Kwa walioona picha ya Lulu akitoka mahakamani, sijui ni macho yangu au anaonekana mjamzito tena tumbo linaonyesha kabisa japo kavaa dira.
tutafika lini tuendako??????guys twende mbele turud nyuma hakuna binadamu aliekamilika na kamwe usimtukane mamba kabla hujavuka mto jaman huyu binti keshajifunnza tena mnoo na hii ni mpango wa mungu wa yeye kuwa binti mwenye busara na adabu kumbuken lulu sio yeye tu ndo anakosa hilo kkuna watoto weng saana bt hawaonekan coz they are nt star so guys yan "dont judge a person unless u av walked a miles in his or her moccassin"
mungu amjaalie huyu dogo, ukweli ufahamike.
Mi huyu mtoto kanichosha sana acha dunia imfunze,mtoto alikuwa anaambiwa anaona anabaniwa so acheni watu waongee wanavyoweza,we unayesema kajifunza unamjua lizy unamchezea? aachiwe now utazickia nyodo zake kwn media hako kanajiona kenyewe ndio kenyewe. na kilicharuka vibaya na ni funzo kwa wasichana wote wadogo wenye tabia km z lizy,wakubwa wakiwakanya mambo mabaya muyaache!
Mawakili wanaomtetea Lulu waliwasilisha ombi la kurekebisha umri wa mshitakiwa(Lulu) kuwa miaka 17 na si 18 wakisema mteja wao ni mtoto mdogo hivyo kesi jiyo ipelekwe mahakama ya watoto na kuwasilisha cheti kinachoonesha ana umri wa miaka 17.
Upande wa mashitaka umetupilia mbali ombi hilo na kudai cheti kilichowasilishwa kina mapungufu kadhaa likiwemo jina la Dyana ambalo halijawahi kusikika likitumiwa na mshitakiwa huyo.
source: GLOBAL PUBLISHER
BREAKING NEWSS; MAHAKAMA YAKATAA OMBI LA LULU MICHAEL | MPEKUZI