Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.
Ukiwa mboga mboga lazima uwe zezeta na zuzu, yaani matatizo ya kukosekana umeme, sukari, ajira n.k ni vitu ambavyo tunapitia wananchi wote lakin cha ajabu popoma moja linakejeli wanaopaza sauti juu ya ayo matatizo
Ni miezi mitatu sasa toka nimpoteze mwanangu, my handsome boy nilietegemea angekuja kunisaidia uzeeni, he left me at such young age .
Sometimes nahisi nakufa taratibu day after day
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.