Recent content by CalvinD

  1. CalvinD

    Je hawa walipona?

    Not guilty untill proven
  2. CalvinD

    Paul Makonda Mmoja alifanya mkutano mkubwa na mzito mkoani Mbeya kuliko CHADEMA waliosombelea watu mikoa yote ya nyanda za juu kusini

    Ukiwa mboga mboga lazima uwe zezeta na zuzu, yaani matatizo ya kukosekana umeme, sukari, ajira n.k ni vitu ambavyo tunapitia wananchi wote lakin cha ajabu popoma moja linakejeli wanaopaza sauti juu ya ayo matatizo
  3. CalvinD

    Simu "copy" ina maana gani?

    Features zake zinakua tofauti na simu Original? I mean operational.
  4. CalvinD

    Biashara ya Kitimoto Unguja/ Zanzibar

    Fungua tu mkuu Wateja wako kibao tu, ila fungua kifichoni
  5. CalvinD

    Tukio gani lilikuhuzunisha zaidi kwenye Series ya Game of thrones (GoT)?

    Kifo cha lady lyana mormont katika ile vita ya white walkers
  6. CalvinD

    Tunabadilisha vioo vya tv

    Mkuu mbona unakurupuka kutoa taarifa, hujataja location, price, wala brand gani mnabadilisha
  7. CalvinD

    Bado ni kama ndoto, mpaka sasa ni miezi 10 tu tangu nimpoteze Mama yangu

    Ni miezi mitatu sasa toka nimpoteze mwanangu, my handsome boy nilietegemea angekuja kunisaidia uzeeni, he left me at such young age . Sometimes nahisi nakufa taratibu day after day
  8. CalvinD

    Tujikumbushie movies zilizotukuza in 80s, 90s & early 2000s

    Kickboxer ya van dame na tompo
  9. CalvinD

    Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

    Kwani Mungu wenu hawez kujitetea mwenyewe?
  10. CalvinD

    Sheikh Mwaipopo: Muislam atakayehudhuria mkutano wa CHADEMA litakalomkuta ni juu yake

    Hawa ndo wanaotukanisha uislam Empty head kabisa Mwaipopo
  11. CalvinD

    TFF inapokua shabiki wa Simba

    Roho zinawauma sana, na bado dawa itawaingia makolo
  12. CalvinD

    SoC03 Usumbufu wa daladala nyakati za jioni kisiwani Zanzibar

    Waongeze mabasi kama coster zenye soace kubwa na kubeba abiria wengi watakao kaa na kusimama, tofauti na chai maharage
  13. CalvinD

    Ni Movies gani ziliwahi gusa hisia, mtazamo na labda kubadirisha maisha yako?

    Stonning of Soraya M Movie moja ambayo iko based na true story setting nchini Iran, inahusu mwanamke ambae anasingiziwa kuzini nje ya ndoa na alihukumiwa kufa kwa kupigwa mawe Mchongo mzima uliratibiwa na mumewe akishirikiana na viongoz wa dini waliopitisha hukumu iyo huku wakijua sio kweli...
Back
Top Bottom