Ukiwa mboga mboga lazima uwe zezeta na zuzu, yaani matatizo ya kukosekana umeme, sukari, ajira n.k ni vitu ambavyo tunapitia wananchi wote lakin cha ajabu popoma moja linakejeli wanaopaza sauti juu ya ayo matatizo
Ni miezi mitatu sasa toka nimpoteze mwanangu, my handsome boy nilietegemea angekuja kunisaidia uzeeni, he left me at such young age .
Sometimes nahisi nakufa taratibu day after day
Stonning of Soraya M
Movie moja ambayo iko based na true story setting nchini Iran, inahusu mwanamke ambae anasingiziwa kuzini nje ya ndoa na alihukumiwa kufa kwa kupigwa mawe
Mchongo mzima uliratibiwa na mumewe akishirikiana na viongoz wa dini waliopitisha hukumu iyo huku wakijua sio kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.