Dodgers Gamers
Member
- Aug 20, 2025
- 84
- 101
Sijawahi ndio naanza nilikuwa DLSUmeshawai kulicheza
Sijawahi ndio naanza nilikuwa DLSUmeshawai kulicheza
Sawa, ngoja nikachukue hiyo tgramUkitaka maelekezo ya kutosha mtag Selikavu au kama unatumia Telegram tumia link naiweka hapo chini kujiunga.
Ikiwa utajiunga telegram hakikisha unaenda settings kuficha taarifa zako kabla hujajiunga kwenye group.
Kama huna telegram pakua kwanza VPN ya 1.1.1.1 ambayo itakusaidia kupata verification code kwa urahisi wakati unajiunga.
![]()
JF Champions League
WALL OF CHAMPIONS The Conqueror 🏆🏆🏆 Gilberto 🏆 Selikavu 🏆 Mr Devil 🏆 Negan🏆 Fair play Award Corrie De Killer🏅t.me
Okay karibu sana Binafsi pia nimetoka DLSSijawahi ndio naanza nilikuwa DLS
Karibu.Sawa, ngoja nikachukue hiyo tgram
We sio mwema.View attachment 3567982Ivo vichwa saivi nitaenda kuwatesa sanaaaa 😂🔥
Itakuwa unyama.. Telegram saivi kwangu nzito mno kufunguka mpaka nimeachana nayo.Wakuu group la telegram lirudi huku jf imetulia now.
Kama mm tu yaani hadi ifunguke ni dakika 10 hivi.Itakuwa unyama.. Telegram saivi kwangu nzito mno kufunguka mpaka nimeachana nayo.
Hakuna matumizi ya kiunganishi? Maana hapa nimetumia kiunganishi.Wakuu group la telegram lirudi huku jf imetulia now.
Unaingia bila kiunganishi?Ujumbe umefika😂, mje huku wakubwa.
Sawa kibonde 😂Nimerekebisha mkuu, typing error.
Nb: natumia Tecno f1😂🙌
Napotea sana, habari zenu nyote👋👋👋👋Okay karibu sana Binafsi pia nimetoka DLS
Konami hawawezi kukubagua yan wote tunaolink account zikubali ila wakatae kwako tu?Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.
Nacheza huki nimefumba macho 😂Uchokozi. Saa 4 usiku nakumalizaa🔥
Hukutoa password kwa mtu mwingine?Wakuu natanguliza salama
Naombeni msaada wa namna ya kuipata account yangu ya Efootball, niliibiwa simu na baada ya kupata simu mpya nimejaribu ku link ile email ya Konami lakini imekataa
Sasa mwenye ujuzi wa kunisaidia tafadhali naomba msaada wenu.