KERO Responded Vitambulisho vya NIDA havidumu, vinawahi kufutika

KERO Responded Vitambulisho vya NIDA havidumu, vinawahi kufutika

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
nida.jpg

Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa kipindi hiki vinapoteza maandishi kwa muda mfupi tangu vitolewe hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.

Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??

Kama wahusika wameona tatizo hili, je wamechukua hatua gani kuhakikisha vitambulisho vinatolewa kwa ubora unaostaili? vitambilisho hivi ni nyaraka muhimu kwa utambulisho wa mtu, huduma za benki, usajili wa laini za simu, ajira na hata safari, hivyo si haki kwa wananchi kuendelea kupata usumbufu unaotokana na kasoro ambazo zinaweza kuzuilika.

Mwisho niwaulize nyie wahusika wa NIDA pamoja na mamlaka husika kuwa tatizo hili nyie mnalichukuliaje maana tayari mmesha kutana na watu wengi walio rudi kwenu kuelezea tatizo hilo ikiwa ni pamoja na mimi nakuambiwa nijaze fomu upya na kuleta loss report halafu nikalipie shs. 20,000/= ili nipewe kingine je ni hicho ndicho kinacho wafurahisha mpaka mnaendelea kutengeneza vitambulisho vyenye ubora wa chini kiasi hiki?

NIDA Tanzania

Majibu ya NIDA haya hapa ~ NIDA: Kitambulisho kikifutika kilete Mkandarasi atakichapisha upya bila malipo
 

Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa kipindi hiki vinapoteza maandishi kwa muda mfupi tangu vitolewe hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.

Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??

Kama wahusika wameona tatizo hili, je wamechukua hatua gani kuhakikisha vitambulisho vinatolewa kwa ubora unaostaili? vitambilisho hivi ni nyaraka muhimu kwa utambulisho wa mtu, huduma za benki, usajili wa laini za simu, ajira na hata safari, hivyo si haki kwa wananchi kuendelea kupata usumbufu unaotokana na kasoro ambazo zinaweza kuzuilika.

Mwisho niwaulize nyie wahusika wa NIDA pamoja na mamlaka husika kuwa tatizo hili nyie mnalichukuliaje maana tayari mmesha kutana na watu wengi walio rudi kwenu kuelezea tatizo hilo ikiwa ni pamoja na mimi nakuambiwa nijaze fomu upya na kuleta loss report halafu nikalipie shs. 20,000/= ili nipewe kingine je ni hicho ndicho kinacho wafurahisha mpaka mnaendelea kutengeneza vitambulisho vyenye ubora wa chini kiasi hiki?

NIDA Tanzania
Halafu waulize wametumia kiasi gani kuvichapisha ukipewa jibu unaweza kuzimia(kama ni mzalendo)
 
Ukichukua kitambulisho, jiongeze piga lamination.
Haitakiwi iwe hivyo. Hii inaonesha wamelipua ili wapige fedha. Kafanya vizuri sana kusema japo wezi ni hao hao anaowalalamikia. Vitambusho vinatakiwa viwe na quality inayotakiwa na maandishi yawe ndani.
 
Kuna awamu ya kwanza ilitoka vilikuwa vizuri, sasa wanalazimisha watu wakavichukue halafu vinafutika si wabaki navyo tu.
 
Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??
Ukiwasikia wenyewe wakivisifia sasa,, vtambulisho vinapukutika kama unga
 
Hii nchi kama hadi vitambulisho tu wanashindwa kutengeneza sijui tunaweza kutengeneza nini.

NIDA wajitafakari sana
 

Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa kipindi hiki vinapoteza maandishi kwa muda mfupi tangu vitolewe hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.

Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??

Kama wahusika wameona tatizo hili, je wamechukua hatua gani kuhakikisha vitambulisho vinatolewa kwa ubora unaostaili? vitambilisho hivi ni nyaraka muhimu kwa utambulisho wa mtu, huduma za benki, usajili wa laini za simu, ajira na hata safari, hivyo si haki kwa wananchi kuendelea kupata usumbufu unaotokana na kasoro ambazo zinaweza kuzuilika.

Mwisho niwaulize nyie wahusika wa NIDA pamoja na mamlaka husika kuwa tatizo hili nyie mnalichukuliaje maana tayari mmesha kutana na watu wengi walio rudi kwenu kuelezea tatizo hilo ikiwa ni pamoja na mimi nakuambiwa nijaze fomu upya na kuleta loss report halafu nikalipie shs. 20,000/= ili nipewe kingine je ni hicho ndicho kinacho wafurahisha mpaka mnaendelea kutengeneza vitambulisho vyenye ubora wa chini kiasi hiki?

NIDA Tanzania
Niliskia wanasema kikifutika unarudisha kinachapwa upya mkii
 
Mimi ni mmoja ya waliopata vitambulisho kwa awamu ya kwanza ya kuanzishwa kwake,nakiri vile ni bora na original kabisa ojijo.
Sikubweteka licha ya uimara wake..(mpk leo)
Nilifanya haya ili kuepukana na kenge wowote kwenye ofisi zao,
1:HIFADHI KICHWANI NIN
Nilifanya hivyo kukariri kichwani number ya kitambulisho,pale ambapo nimekisahau mahali popote ,au inahitajika kwa namna yeyote basi naweza kukutajia NIN.
2:PIGA PICHA
Siku zote smartphone yangu imekuwa Bega kwa Bega kila ninapoenda,Nikaona nayenyewe naweza,fanya kitu ili ikitokea kichwa kime corrupt na madeni au uzee kusahausahau basi kawepo kapicha kazuri kwenye simu janja ya Kitambulisho full cha Nida.
3:COPY
In case simu haina chaji ,nikatengeneza copy ya Nida,copy ngumu sawasawa na kitambulisho,nikakilambisha na lamination.(wa stationary wanajua)
Mpk hapo kile original kipo kabatini tu kipyaaa(since 2013/14)
Na mbadala wa namna zote ,sikuishia hapo niliweka online copy kwenye cloud,

Kwa ivyo ikivunjika simu kioo,bado nina copy,wahuni wakipita nayo,ikipotea copy,basi ninayo original kabatini.
Usi peleke 20000 kizembe mpk kwanza njia hizo 3 u fail kbsakbsa.
UMEIPENDA ipi??
Kama kuna umuhimu wa kutembea na I'd card basi tembea na copy.
 
Vitambulisho vya mpiga kura ni bora mara mia kuliko NIDA
 
Hakuna gharama yoyote anayotozwa mwananchi kama Kitambulisho chake kimefutika. Anatakiwa akiridishe ofisi za NIDA.
 

Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa kipindi hiki vinapoteza maandishi kwa muda mfupi tangu vitolewe hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.

Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??

Kama wahusika wameona tatizo hili, je wamechukua hatua gani kuhakikisha vitambulisho vinatolewa kwa ubora unaostaili? vitambilisho hivi ni nyaraka muhimu kwa utambulisho wa mtu, huduma za benki, usajili wa laini za simu, ajira na hata safari, hivyo si haki kwa wananchi kuendelea kupata usumbufu unaotokana na kasoro ambazo zinaweza kuzuilika.

Mwisho niwaulize nyie wahusika wa NIDA pamoja na mamlaka husika kuwa tatizo hili nyie mnalichukuliaje maana tayari mmesha kutana na watu wengi walio rudi kwenu kuelezea tatizo hilo ikiwa ni pamoja na mimi nakuambiwa nijaze fomu upya na kuleta loss report halafu nikalipie shs. 20,000/= ili nipewe kingine je ni hicho ndicho kinacho wafurahisha mpaka mnaendelea kutengeneza vitambulisho vyenye ubora wa chini kiasi hiki?

NIDA Tanzania
Almost kila kitu Tanzania ni mediocre yaani sisi tuna allergy na mambo mazuri kwanini inakera sana
 
NIDA inaenda mwaka sasa huu tangu nirudishe kitambulisho kilichofutika wakibadilishe hakijaprintiwa.

Nikiwapigia wanasema kikiwa tayari tutakutumia ujumbe.
Ina maana kuprint vitambulisho upya inachukua mwaka siku hizi.

Mimi nasema hiviiii, naenda kuprint changu kwa gharama binafsi.
Hicho kilichopo kwenu bakini nacho.
 

Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa kipindi hiki vinapoteza maandishi kwa muda mfupi tangu vitolewe hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.

Tofauti kubwa inaonekana kati ya vitambulisho vya awamu ya kwanza na hivi vya sasa ambavyo awali vilikuwa imara zaidi na maandishi yake yalidumu kwa muda mrefu bila kufutika. je ni kwanini ubora wa vitambulisho vya sasa umeshuka kiasi hiki??

Kama wahusika wameona tatizo hili, je wamechukua hatua gani kuhakikisha vitambulisho vinatolewa kwa ubora unaostaili? vitambilisho hivi ni nyaraka muhimu kwa utambulisho wa mtu, huduma za benki, usajili wa laini za simu, ajira na hata safari, hivyo si haki kwa wananchi kuendelea kupata usumbufu unaotokana na kasoro ambazo zinaweza kuzuilika.

Mwisho niwaulize nyie wahusika wa NIDA pamoja na mamlaka husika kuwa tatizo hili nyie mnalichukuliaje maana tayari mmesha kutana na watu wengi walio rudi kwenu kuelezea tatizo hilo ikiwa ni pamoja na mimi nakuambiwa nijaze fomu upya na kuleta loss report halafu nikalipie shs. 20,000/= ili nipewe kingine je ni hicho ndicho kinacho wafurahisha mpaka mnaendelea kutengeneza vitambulisho vyenye ubora wa chini kiasi hiki?

NIDA Tanzania

Majibu ya NIDA haya hapa ~ NIDA: Kitambulisho kikifutika kilete Mkandarasi atakichapisha upya bila malipo
NIDA inaenda mwaka sasa huu tangu nirudishe kitambulisho kilichofutika wakibadilishe hakijaprintiwa.

Nikiwapigia wanasema kikiwa tayari tutakutumia ujumbe.
Ina maana kuprint vitambulisho upya inachukua mwaka siku hizi.

Mimi nasema hiviiii, naenda kuprint changu kwa gharama binafsi.
Hicho kilichopo kwenu bakini nacho.
Dogo usitupigie kelele na walq usitufundishe kazi. Sisi tumeruhusiwa na mheshimiwa sana kula kwa urefu wa kamba zetu.
 
Back
Top Bottom