Hata mm nilimshangaa sana huyo jamaa ktk mahojiano kati yake na kikekee, mwizi na ombaomba nani salama? Wamesahau miaka kadhaa ya nyuma walitumia sana mlima wetu k'manjaro kujipatia watalii wengi! Ziara ilikuwa ni ya rais wa marekani haikuwa ziara ya obama!
Muheshimiwa rais ninafuraha kubwa kuchagua kuja Tanzania karibu sana.Je katika miradi ya nchi yako iliyopo tanzania ni kiwango gani cha wanawake Wa kitanzania waliopata ajira na kunufaika na miradi hiyo, na unamuahidi nini mwanamke wa tanzania kuondokana na hali duni ya maisha na huduma za...
Habari wana JF wote' ili kuongeza ajira kwa serikali na kuongeza wateja kwa mashirika haya naomba selikali ijitoe kukopesha wanachuo badala yake itumie pesa hizo kutoa ajira. mashirika haya yawajibike kusomesha ili kuwa na uhakika wa kupata wateja badala ya kuitegemea selikali. makato ya gharama...
Hi wana JF! Kama ilivyo desturi yetu watanzania huwa hatuachi kupongezana hasa pale panapoonekana kuna jambo zuri limefanyika. Wengi mtakubaliana na mimi kuwa babu ni mjasiliamali alieibadilisha samonge na kuitangaza loliondo duniani kwa muda mfupi,babu amesababisha kushughulikiwa huduma muhimu...
Hongera kwa kuliona tatizo, tembelea shule za binafsi na za mashirika ya dini zinazofanya vizuri kitaaluma utapata mbinu mpya zilizoboreshwa ktk uendeshaji. Pia unaweza watembelea. Tahosa na haki elimu hawa nao wanazo takwimu zenye uhakika kujibu maswali yako.
Nakelwa sana na baadhi ya wanafunzi na wanavyuo kushindwa kutunza usafi ktk taasisi hizo. Kwa mfano: utumiaji wa vyoo ktk hali ya usafi,uharibifu wa mabweni, hostels,madarasa na samani zilizomo. Na imani wakielimishwa tutaokoa afya zao na watastaarabika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.