Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,710
hivi kwa nini music wa taarab mara nyingi ujumbe wake ni wa kutambiana kuchukuliana mwanaume,utasikia 'huna mambo',hunirushi roho...utalijua jiji. nimesikiliza ni wanawake kutambiana kumchukua mume..hivi wale wanamusic wa taarab hawana ujumbe mwingine kama mgao wa umeme,maisha kupanda...huduma mbovu za nchi yetu au hainogi LOL.....
Last edited by a moderator: