kwa wale walioshinda na stress

kwa wale walioshinda na stress

Loh tayari mbona tangu saa kumi saivi nna amani! Bajeti ilinichanganya mno walevi tumezidi kukamuliwa vimkoko vyetu navyo road license juu petrol nayo tutachangia sh 50 kwa litre kwa ajili ya umeme vijijini

hii ilipatwa kunenwa na alhaji rage ..kuwa tutakula hii nchi na mwisho wake tutakulana wenyewe..
 
Sasa we mbona unaanza umbea ndugu yangu, sasa unamwambia nini tena kwa kilugha mwenzako anataka faraja. Na wewe kausha nitakupa trip uende Merekani ukatalii Great Grand Canyon na mkeo. Una watoto wengi?

Hamna, nilikuwa namkumbusha kufanya marejesho kwenye chama chetu cha VICOBA, afu mkuu yale majeneza bado unauza,!?? nataka nijinunulie moja matata...
 
mimi kuna kabint kanakomaa kuwa kana mimba yangu,mtegon nimenasa ukweli na uwongo wa mimba hyo anajuwa yeye
 
Nateseka kweli Natamani kiroba kipoze koo langu lakini nimemeza fragile jana nilikula kongoro mahali likaniletea shida kweli Yani Nimelala karibu na mlango wa maliwato
 
Nimetia mimba mtoto wa ma'mdogo,celewi nfnyj
 
Hawa kweli kawashindwa yesu na mtume umewambia wamwage nyongo' hadi wengine wamejenga mnara wa babeli,majanga ya bajeti noma?
 
Back
Top Bottom