Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Ha ha ha, ujinjiwe ubhebhe, nduhu nulu kubulaga kaya ulu yukulemela kajimelage, kushoka kaya bhiya
kweli,wangu alitoa ng'ombe 50,akapigiwa hesabu kila ng'ombe elfu 20.Nakibhuja sana nikasema najinjiwa lulu.
 
Wasukuma wanaiweza kazi bana. Si unaona wanakuwa na wake wengi?

Sasa Mchaga analala anawaza pesa tu. Nasikia sasa Wakenya wanawasaidia kazi maana wao wanaonekana wakati wa X-Mas tu.

Ukiangalia hata maumbo, Wasukuma Kamguu Ka Mtoto si haba. Hapo sasa Ngosha ale ugali wake, weee....

"............Khaa!! Mashiku watumia dawa babaangu............"
 
Wasukuma wanaiweza kazi bana. Si unaona wanakuwa na wake wengi?

Sasa Mchaga analala anawaza pesa tu. Nasikia sasa Wakenya wanawasaidia kazi maana wao wanaonekana wakati wa X-Mas tu.

Ukiangalia hata maumbo, Wasukuma Kamguu Ka Mtoto si haba. Hapo sasa Ngosha ale ugali wake, weee....

"............Khaa!! Mashiku watumia dawa babaangu............"
u r right...........hawa jamaa ni noma, na ndio maana ukionja kwao lazima utangaze ndoa
 
Wasukuma wanapenda wanawake weupe; wachagga wanapenda mali za wasukuma!

Ila wanaume wengi wa kisukuma wakioa wachaga; husahau extended family hata immediate mf kaka na dada zao, na hujikuta wakibase uchagani zaidi. Na hata watoto wakizaliwa hujiona wachaga zaidi kuliko wasukuma. Hii nimeiona kwa zaidi 90% za couple mix (mume msukuma, mke chagga); actually couple zote ninazozifahamu (more than 5 na less than 10.
True 100%!.
P.
 
Wasukuma wanapenda wanawake weupe; wachagga wanapenda mali za wasukuma!

Ila wanaume wengi wa kisukuma wakioa wachaga; husahau extended family hata immediate mf kaka na dada zao, na hujikuta wakibase uchagani zaidi. Na hata watoto wakizaliwa hujiona wachaga zaidi kuliko wasukuma. Hii nimeiona kwa zaidi 90% za couple mix (mume msukuma, mke chagga); actually couple zote ninazozifahamu (more than 5 na less than 10.
True 100%!.
P.
 
Back
Top Bottom