Kucheki watumishi hewa linafaa liwe suala endelevu na sio la mwezi mmoja au miwili hivo linavozuia mambo mengine yanayoihusu jamii kama sio sawa hivi rejea wahitimu wa udaktari,, unesi,,ualimu,,jkt,,,na sasa hawa vijana tena wa jkt na wa kada zingine wote wamejazana mtaani bila issue maalum na...