Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kama mnavyojua maisha hayana formula kuna wengine kwa kiasi chake mwenyezi Mungu amewabariki na kuwapa maisha mazuri Kiasi cha kuweza kutoa msaada kidogo kwa ndugu pale shida inapojitokeza,
Vijana wenzangu ambao mko njiani kutafuta maisha je kile kidogo unachopata unawezaje kuhimili lawama kutoka kwa ndugu zako pale wanapoitaji na kukosa msaada kutoka kwako?
Kama mnavyojua wengi wetu sisi tunaotokea kwenye familia za kiafrica tumezaliwa kwenye familia tegemezi kwani Mungu akikujalia kuuona mwanga kidogo wa mafanikio ya maisha basi na ndugu nao wanakutazama.
Ni kweli kuna wakati wa lazima kutoa msaada lakini siyo kila wakati ni wakutoa msaada .
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wenzangu ambao mko njiani kutafuta maisha je kile kidogo unachopata unawezaje kuhimili lawama kutoka kwa ndugu zako pale wanapoitaji na kukosa msaada kutoka kwako?
Kama mnavyojua wengi wetu sisi tunaotokea kwenye familia za kiafrica tumezaliwa kwenye familia tegemezi kwani Mungu akikujalia kuuona mwanga kidogo wa mafanikio ya maisha basi na ndugu nao wanakutazama.
Ni kweli kuna wakati wa lazima kutoa msaada lakini siyo kila wakati ni wakutoa msaada .
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app