Recent content by brianjames11

  1. B

    Hakika walimu wote ni wakati wetu wa kugoma kuishinikiza serikali kutambua umuhimu wetu

    Kazi ya kupanga mishahara ya watumishi ni ngumu sana na inahitaji umakini mkubwa. Na serikali ya tanzania haina umakini kwenye swala hili. mtoa maada umeeleza vizuri japokuwa kuna mahali unachanganya mambo, mfano issue ya tutorial assistant wa vyuo kulipwa takehome 900,000. Hapa hakuna tatizo...
  2. B

    Nampenda ,lakini wivu wake ni balaaa

    Mapenzi ya kweli lazima yawe na wivu. Kwahiyo kama mtu ana wivu na wewe ni ishara tosha kuwa anakupenda. Ila ni vema ukumbuke kuwa uhusiano wowote ule wa kimapenzi unaletwa na mawasiliano kati ya watu wawili. Kama unapigiwa simu na classmate au work mates ina maanisha mna mawasialiano ambayo...
  3. B

    Nyumba INAPANGISHWA

    ni vema ukaweka bei kuepuka lugha ambazo si nzuri. Mara zote mtu anayepangisha nyumba anasema bei na kuonyesha picha ila wateja waweze kufanya maamuzi sahihi.
  4. B

    Mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? Anaweza kufanya kazi gani nje ya ualimu

    Jamani tusiwe nyumba kwenye kuelewa maana ya elimu. Sio sahihi kila mtu kusoma udaktari wa binadamu au uhasibu. Kila kozi ina umuhimu wake kwenye jamii. kwa nchi zilioendelea kuna wanafunzie wanasoma BA Dance, MA Dance na hata PhD in Dance. Kuna watu wanasoma BA Music au cinema mpk level ya PhD...
  5. B

    Mke wangu amenisaliti kwa ushahidi wa mazingira, nifanye nini?

    hakuna ndoa hapo. ni bora muachane tu kama unapenda kuendelea kuishi. Fany maamuzi mazito kwa kutumia kichwa na sio moyo. Usipoachana naye atakuletea maradhi tu.
  6. B

    Je wahadhiri hawa wa ustawi kudai haki zao ni kosa mpaka wafukuzwe kazi?

    Hilo swala nimeliona kwenye vyombo vya habari pia. Ila kama bodi ya chuo inaweza kufukuza wahadhiri wote hao kwa mara moja inawezekana kuna tatizo mahali. kama ni uongozi wa chuo bado hayo matatizo yataendelea, kwa kuwa bado uongozi ulikuwepo unaendelea na kazi. Lakini kwa wahadhiri wenye sifa...
  7. B

    Hii ndio safu ya wahadhiri katika chuo cha "informatics and virtual edcucation" UDOM

    Kutrain lecturers mpaka level ya PhD sio mchezo, na inahitaji management yenye roho ngumu ya kulipa ada pamoja na peasa za research kwa ajili ya PhD. pia nadhani swala la kutrain lecturers mpaka PhD liwe jukumu la central government na sio vyuo yenyewe, maana ni gharama sana. Aliyekuwa mkuu wa...
  8. B

    Nape kuvaa cheni za gold maana yake nini?

    cheni ki kitu cha kawaida kama una uwezo wa kuinunua. Kwa taratibu zetu za kiafrika hatupaswi kutoboa masikio au kuvaa miguuni. Ila shigoni au mkononi hakuna tatizo kabisa. mwingine anaweza kuvaa saa ya gold tupu na n.k. inategemea na uwezo wa mtu. wataanzania tutafute maada za kudiscuss ila hii...
  9. B

    Jaman ma-lecturer IFM mna matatizo gani?

    Naungana na wewe mkuu. umetoa maelezo mazuri sana. kwakweli mtoa maana ameeleza juujuu sana. Pia swala la msingi umeliezea vizuri, kwamba hakuna mtu wa mfelisha mwanafunzi eti kwakuwa anamtaka. HIYO HAIPO KABISA. KAMA UTAKA KUFAULU NI KUJUA NONDO TU. MTU AKIFELI NI KWAMBA HAJUI. KWAHITYO USHAURI...
  10. B

    Natafuta kiwanja

    Huko kimbiji viwanja vinakwenda kwa bei gani? na je kumepimwa? na mimi nina interest na kiwanja maeneo ya kigamboni.
  11. B

    Beatrice Shelukindo apokea vitisho

    Sidhani kama vitisho vinasaidia. hapa amefanya jambo la msingi na lenye tija kwa taifa zima. sasa vitisho havisaidii, pia ninavyoelewa hawa watu wa lushoto, hawawezi kumfanya kitu.
  12. B

    Jaman ma-lecturer IFM mna matatizo gani?

    Sidhani kama wanalazimishwa ngono. Unajua kuna wanafunzi wengi wapuuzi sana, hawataki kusoma alafu wanataka wafaulu tu. Unakuta mtu anaenda dinner masaa kibao akirudi analala, sasa huyo atafaulu vipi?Dawa ya kumkomesha lecturer anayetaka ngono ni kusoma tu, maana akikufelisha una appeal na...
  13. B

    Jaman ma-lecturer IFM mna matatizo gani?

    Ndugu Maengo swala la kuomba ngono ili umsaidie mwanafunzi marks ni rushwa. sasa sidhani kama hapa jamii forum unaweza ukawa umesaidia kuondoa tatizo. Kama huyo mkuu wa idara ya social protection anafanya hivyo unapaswa uthibitishe hilo swala kwenye vyombo husika. Nadhani IFM kuna mkuu wa chuo...
  14. B

    Kashfa ya Jairo: Malipo ya zaidi Billioni 1 kusaidia Bajeti ipitishwe - Adai MP Beatrice Shelukindo

    Inabidi takukuru ishughulike na hili ambalo limeonekana kwanza. Ukisema mambo ya wizara nyingine ni kama unatopeza attentation. Hapa inabidi huyu bwana jairo awajibike na awe umfano wa kuiga.
Back
Top Bottom