cheni ki kitu cha kawaida kama una uwezo wa kuinunua. Kwa taratibu zetu za kiafrika hatupaswi kutoboa masikio au kuvaa miguuni. Ila shigoni au mkononi hakuna tatizo kabisa. mwingine anaweza kuvaa saa ya gold tupu na n.k. inategemea na uwezo wa mtu. wataanzania tutafute maada za kudiscuss ila hii haina msingi.
mbuz anakula urefu wa kamba yake.ha ha haawanavaa macheni ya ghali huku wananchi wanakufa kwa njaa
Uko sawa kabisa lakini siku akianza kuvaa shanga ntamuuliza tu... by the way sikubaliani na unaposema chochote, so hata akianza kuvaa sketi itakuwa poa tu as long as ana uhuru ama?Kwa hili,cna cha kumponda nape,ana uhuru wa kuvaa chochote atakacho mazee.
Hawavai Dhahabu!Wamasai siyo waafrika?
Jifunze jinsi ya kujenga hoja, dis iz CRAPwanavaa macheni ya ghali huku wananchi wanakufa kwa njaa