*Isaya 40:28*
[28]Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake *hazichunguziki*.
*Warumi 11:33,36*
[33]Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake *hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani!*...