Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Nakusihi usiuze utu wako cha kufanya weka kumbukumbu ya meseji na vitisho vyake itakusaidia LA ziada muombe Mungu yeye ndo kila kitu ktk maisha yetu
 
Muhubiri 7:16 Inasema, usiwe mwenye kupenda haki kupitiliza. Kwa nini kujiangamiza mwenyewe?
Be not overly righteous, and do not make yourself too wise. Why should you destroy yourself?
Ukiweza kuuelewa huu mstari nadhani utajua ni nini cha kufanya.

Mkuu nimeyapitia upya hayo maandiko, sidhani kama nimefikia kiwango hicho
 
Tumia condom mkuu acha utoto alafu ushasema anakalibia kustafu
 
Mpige paipu kisha rekodi huku ukimpiga mashine, akileta kiburi wewe mletee jeuri.
 
Mi ni senior wako kikazi, nipe namba yake inbox tafadhali! Anahitaji huduma muhimu ya kibinadamu huyu! Eti cjui umri, mara kazi, acha ushamba we dogo! Binadamu wote ni sawa, hasa kwa mahitaji ya msingi kwa miili yetu! Duh, hv kinyume cha Kitchen Party kinaitwaje?!!!! Yaani nnavyotweta hapa halafu eti kuna 'vihandsome" vinadeka!
 
Pole sana kwa majaribu, nakushauri mpuuze, fanya kilichokupeleka.

Mambo yakizidi, basi unaweza kuwasiliana na viongozi wa chama cha wafanyakazi kinachokuwakilisha, utawaeleza changamoto hiyo na vitisho unavyovipata huku ukiwa na ushahidi hata wa meseji.

Hao viongozi watajua mbinu za kuwasiliana na uongozi wa shirika unalofanyia kazi. Lakini pia itaweka tahadhari juu ya mpango wa kukuharibia kazi kwa mambo binafsi na kukufanya kuwa salama zaidi.

Tahadhari: usithubutu kutembea na huyo mama na kama umeanza naye, acha.

Kila la heri.
Ushauri huu mzuri sana akiufanyia kaz Itapendeza
 
Mzee najiuliza kama anaweza kunifuata mm mgeni pale ofisini, atakuwa amewafuata wangapi kwa umri wake wa 50+

Hiyo ya kujua kapita na wangapi haidhuru maana haina makombo, cha msingi mpige paipu!
 
Pole sana kwa majaribu, nakushauri mpuuze, fanya kilichokupeleka.

Mambo yakizidi, basi unaweza kuwasiliana na viongozi wa chama cha wafanyakazi kinachokuwakilisha, utawaeleza changamoto hiyo na vitisho unavyovipata huku ukiwa na ushahidi hata wa meseji.

Hao viongozi watajua mbinu za kuwasiliana na uongozi wa shirika unalofanyia kazi. Lakini pia itaweka tahadhari juu ya mpango wa kukuharibia kazi kwa mambo binafsi na kukufanya kuwa salama zaidi.

Tahadhari: usithubutu kutembea na huyo mama na kama umeanza naye, acha.

Kila la heri.

Ahsante sana mkuu kwa ushauri bora kabisa, nitaufanyia kazi.
 
Habari wadau,

Ni wiki ya tatu tu tangu nipate kazi katika moja ya mashirika binafsi hapa nchini. Ni jambo la heri ukizingatia ndio kwanza nimemaliza chuo mwaka jana novemba.

Nilikuwa mwenye furaha sana kama mnavyo jua ( nilikuwa kama ndama aliyetoka zizini kwa mara ya kwanza). Ghafla faraja na furaha niliyokuwa nayo inapotea baada ya afisa muajiri (human resource) kuanza kunisumbua ananitaka kimapenzi (si vibaya), tatizo ni mtu mzima anayekaribia kustaafu (50+) yrs, ameolewa na mume wake ni boss mkubwa tu. Ni kama bibi yangu vile!

Hivi sasa amefikia pabaya, analeta figisu figisu hata kazi zangu haziendi. Ananiambia atahakikisha naiaga ofisi. Kazi naipenda haswa ila afya yangu naipenda zaidi . Nashindwa nifanye nini kwa sasa? Ushauri wenu ni wa msingi sana.

Hali hii inanifanya nashindwa kufikiri sawa sawa.
Hapa kazi tu!, unatetemeka nini kijana fanyanyie kazi hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom