Tido mtoga
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 514
- 433
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu,
Huku kwetu imekuwa ni lazima hata mtumishi wa serikali kutoa mchango wa kijiji wakati mimi ninavyofahamu mimi nakatwa kodi katika mshahara wangu.
Naomba wataalamu wa haya mambo watujuze watu ambao hawajalipa wanakamatwa na kulipishwa faini elfu hamsini na tano.
Nb:
Sijataja sehemu yanapo fanyika haya kwa ababu natumia real ID nimehofia usalama wangu.
Huku kwetu imekuwa ni lazima hata mtumishi wa serikali kutoa mchango wa kijiji wakati mimi ninavyofahamu mimi nakatwa kodi katika mshahara wangu.
Naomba wataalamu wa haya mambo watujuze watu ambao hawajalipa wanakamatwa na kulipishwa faini elfu hamsini na tano.
Nb:
Sijataja sehemu yanapo fanyika haya kwa ababu natumia real ID nimehofia usalama wangu.