Katika vituo hivi vikubwa vya Televisheni, kipi kinastahili kuwa kituo bora kwa mwaka 2017?

Katika vituo hivi vya Television,kipi kinastahili kuwa kituo bora kwa mwaka 2017?


  • Total voters
    71
  • Poll closed .
Mwaka 2017 sijaangalia tv ya aina yoyote, nashindwa hata kupiga kura.
A.ITV
B.TBC
C Azam tv
D.Channel 10
E.Star tv
F.Clouds tv

Wadau,na sisi kupitia mtandao wetu huu wa JamiiForums, si vibaya tukafanya tathimini ya ubora wa vituo tajwa hapa juu katika kuripoti habari za siasa na wanasiasa wa hapa nchini kwa usawa bila upendeleo, kwani mbali na kuvitazama, pia tunavutumia kama moja ya vyanzo vyetu ya kupashana habari hapa JamiiForums hivyo sio vibaya tukavifanyia tathimini.


Karibuni.
 
Bahati Mbaya saana Binafsi sina Access na hiyo Azam TV. Vinginevyo labda namimi ningeona bora hiyo! Nilishaachaga zamani kuangalia TV za Tanzania, ITV kwasasa bora hata TBCCM yenyewe maana tayari inajulikani ni tabia yake kuliko ITV waliokengeuka hivi karibuni!
Mimi siku hizi naona ni bora kutazama Azam tv maana hawa ndio wako fair kwa sasa.
 
Azam ni bora kuanzia content, picha, watangazaji na sauti, pia kidogo wanaweka weredi mbele kuliko mahaba ndo TV pekee ya tanzania nnayo angalia.
 
Azam watuwekee japo channel moja tu kwenye ving'amuzi vingine. They are too selfish, hapa Nina ving'amuzi viwili na bado ili kuipata Azam natakiwa lazima niwe na king'amuzi chao. It's not fair at all
 
Kumuweka Azam Tv na huo uchafu mwingine ni kutupima na kututafutia ban zisizo na maana....

Azam forever
 
Ubora katika nyanjaa ipi mkuu, kwamfano tbc wanatakuwa bora kwa kuajiri wazee,kuongee kama wanaongea na wazee wenzao, mavazi,sura,uchangamfu vyote nikizee zee tu, wanahisi wazee sijui ndo wanawaangalia...
sasa wazee wakale wapi jamani?.
 
Azam TV ndiyo habari ya mjini, vituo vilivyobakia wasubiri miaka mingine huenda wakijirekebisha tutawafikiria
 
Azam Tv ndio kinara.
Wako mbele mnoo, wanajitahidi kwa kiwango kikubwa sana. They are real.
1/Balanced news.
2/Open Debates.
3/Critical analysis.
4/Crucial live Coverage.
5/Real Civil opinions.
 
Azam watuwekee japo channel moja tu kwenye ving'amuzi vingine. They are too selfish, hapa Nina ving'amuzi viwili na bado ili kuipata Azam natakiwa lazima niwe na king'amuzi chao. It's not fair at all
Kwakweli hili ndio tatizo la Azam na TCRA tunaomba mlifuatilie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom