Habari zenu wakuu,
Ninaomba msaada wa Option za Long List maana mimi najua chache kama
1- timu ya nyumbani ishinde
2- timu ya ugenini ishinde ........ Basi ila zingine sijui hivyo naomba mnifahamishe
Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naulizia kuhusu huu mtandao wa Paypal hapa Tanzania.
Kwa mfano nikiwa nafanya kazi mtandaoni, Then nikachagua njia ya malipo ya Paypal, Je hiyo hela nita-Receive ila ndo nitashindwa ku- withdraw ?......... Maana nataka tu hela niweze ku-receive hata kama isipotoka...
Habari zenu wakuu, Nilikuwa nina baadhi ya maswali kuhusu huu Mtandao wa matangazo wa seebait
1. Jinsi wanavyolipa ( PPC, CPM or CPA ) Na Kama kwenye PPC, How Much Cost Per Click ??
2. Minimum payouts
3.Payment Methods
Natanguliza Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.