Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Shukurani nyingi kwako Sinziga,
Comment kama hizi ndiyo zinazoonesha umuhimu wa wa uwepo wa Jamii forums na wanachama wake, wanaotoa ushauri wenye faida kubwa kwa jamii husika. Mungu azidi kukubariki zaidi na zaidi.
 
Samahani, naomba ushauri zaidi,
mwanangu ana matokeo yafuatayo je anaweza kuanzia kweli Basic diploma ya maendeleo ya jamii?

matokeo yake ni,

Civic =D
Geography=D
Biology=D
Book/keeping=D
kiswahili=C
English =C

(History,Math & Commerce =F)

Kwa jinsi mwanangu alivyoumia kufeli hayo masomo alikubali hata kuanza form one upya. ila kutokana na Huu ushauri wako, naamini tunaweza kufanya maamuzi tofauti.

Je anaweza kweli kuanzia ngazi ya Basic Diploma? kwenye vyuo vya Maendeleo ya Jamii??
Je baada ya hiyo Basic Diploma anaweza kuendelea na Degree akifaulu?, au Basic Diploma halafu Advance Diploma tena??.

Nimefungua vyuo vilivyotangazwa na NACTE ,nimeona kama wameandika kuwa Diploma ni kuanzia kidato cha sita. Naomba ufafanuzi tafadhari. Ufafanuzi wako ni muhimu sana unaweza kubadili maisha ya kielimu ya mwanangu.

Alitamani kwenda Clinical Medicine ila ksb hakusoma science imeshindika, baadhi ya vyuo nilivyowasiliana nao wamenijibu kuwa alitakiwa awe na ufaulu wa Physics, Chemistry na Biology. na Yeye alikuwa alikuwa mkondo wa Biashara hakusoma science.

Samahani kwa ujumbe mrefu.
 

EGM nayo siyo mbaya coz Economics ataikuta huko na hesabu sina shaka nae anaziweza...so kozi yoyote inayorelate hapo anaweza akafanya...anyway kila heri
, selection nadhani zitatoka mwezi wa 3 mwishoni au 4
Nina c tatu hkl nitaweza kwenda chuo gani
 
jmn mbona your not current! certificate ya ualimu mwisho div 3,,
 
Samahani mkubwa kuna dgo lang amefaulu kwa division 2 na Ana d ya physics je anaweza chaguliwa pcm ,PCB au cbg
 
Majina ninayoyaona huku sijawahu kuyaona hapa jf
 
mkuu sizinga! masomo ya sayansi wanachukua total point ngapi?
kuna mdogo wangu kapata div. 3 point 24 na ana B/maths C, Biology C, Civics C, Kiswahili C na the rest ana D
mfano PCM ana DDC, PCB ana DDC, EGM ana DC na PGM ana DDC

mshahara wenyewe wakulenga na manati huu, nijue kabisa kama anaenda private nianze michakato ya kukaba wabunge wakikatiza anga zangu.
Hatochaguliw serikalini jiandae kumpeleka shule binafsi
 
Wana Jamii, naomba kujua hivi ni kweli mtoto akimaliza f4 na akapata 5D's and above ni kweli anaruhusiwa kwenda Diploma?
Kwa udahili wa NACTE au upi?
 
FURSA KWA VIJANA WENYE PASS CHACHE O LEVEL KURUDI RASMI KWENYE MFUMO RASMI WA ELIMU

Tangazo

Fursa kwa vijana waliopata pass chache za kidato cha nne yaani kuanzia D moja na kuendelea . kuna Program imeandaliwa kwa miaka miwili inayoitwa Business Operation Assistant. Mwanafunzi akijiunga na hii program anaweza kupata faida zifuatazo:

1. Kupata fursa ya kujiunga na Diploma moja kwa moja kwenye fani aitakayo mara baada ya kumaliza.

2. Kurudi kwenye mfumo rasmi wa elimu ya Tanzania

3. Kupata professional skills na cheti kwenye areas kama Accounts,Procurement, Marketing, Stores, Logistics mgt, nk.
Wahi sasa kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii. 0718476238 au 0742934704. Course inatolewa na Institute of Procurement and supply IPS- chanika
 
Wana Jamii, naomba kujua hivi ni kweli mtoto akimaliza f4 na akapata 5D's and above ni kweli anaruhusiwa kwenda Diploma?
Kwa udahili wa NACTE au upi?
Huyu anaweza kujiunga na Certificate moja kwa moja. Karibu Institute of Procurement and Supply aje kusoma. Unaweza kupiga hii number 0718476238 kwa maelekezo. Zaidi. Ahsante
 
Kaka mm nina D 5 Nimeomba kujiunga na Diploma katka chuo cha IFM na Mpka sasa naona kimya hvi kweli kwa jinsi ya matokeo yangu naweza kuchaguliwa. Na je vp kuhusu jina langu nitaliakikisha vp kama nimechaguliwa na majina yashatka MSAADA PLEASE
 
Kaka mm nina D 5 Nimeomba kujiunga na Diploma katka chuo cha IFM na Mpka sasa naona kimya hvi kweli kwa jinsi ya matokeo yangu naweza kuchaguliwa. Na je vp kuhusu jina langu nitaliakikisha vp kama nimechaguliwa na majina yashatka MSAADA PLEASE
Mkuu qualification zao wewe ni kusoma certificate unless kama mbali ya hizo D5 uliwahi kusoma kozi yoyote ya certificate kwa muda usiopungua miezi 9 ndo utakuwa na sifa ya kusoma Diploma
 
Asante Nashukulu kwa msaada wako ila m n mgeni na cjajua utalatibu wa mtu ukiomba nafasi inakuwaje kuhusu majibu ya maombi n chuo unaenda kuhuliza au kwenye tovuti
 
Asante Nashukulu kwa msaada wako ila m n mgeni na cjajua utalatibu wa mtu ukiomba nafasi inakuwaje kuhusu majibu ya maombi n chuo unaenda kuhuliza au kwenye tovuti
Mda wa kuomba ndio unaishia. Unatakiwa kuomba chuoni moja kwa moja. Karibu IPS Chanika tukusaidie kufanya aoplication . piga number hii 0718476238
 
Niimepata History c. Geography C hesabu F je ninawweeza. Kusoma HGE na baadae kuendelea na accounts nikiwa. Chuo?
 
Jaman na mimi naombeni ushauri
Nimehitimu kidato cha nne na kupata
Civics D
Biology C
Chemistry F
Bath F
Geography D
Kiswahili D
English D
History D

Et jaman nifanyeje ili na mm nipate japo kidogo
 
Back
Top Bottom