Wacha vijana wahalau wana miaka zaid ya 30 wapo kwa wazazi wao hahali wasikuelewe mana wameshindwa ata kuthubutu kujitegemea wataweza kufuga kweli ila usichoke kufundisha wapo wanaoelewa binafsi nakupongeza sana
Umetoa mada nzuri ushauli tuu hiyo space mlioweka ni ndogo mno miti itashonana na kushindwa kuzaa vzr parachichi ni mti mkubwa 10m*10m au iwe 10m*8m angalau kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.