Recent content by Bestfredy

  1. Bestfredy

    Vijana waliozaliwa kuanzia Miaka ya 90 ndiyo watakomboa hili taifa

    Hawa vijana wa 90 bado mpo kwa wazaziwenu mnanyonya hamuelewi
  2. Bestfredy

    Nataka nizalishe kuku wa kienyeji laki moja ndani ya miaka mitatu

    Mipango yake co yako uckatishe tamaa jaama
  3. Bestfredy

    Vijana tuingie kwenye ufugaji wa kuku, kuna dhahabu isiyoonekana

    Wacha vijana wahalau wana miaka zaid ya 30 wapo kwa wazazi wao hahali wasikuelewe mana wameshindwa ata kuthubutu kujitegemea wataweza kufuga kweli ila usichoke kufundisha wapo wanaoelewa binafsi nakupongeza sana
  4. Bestfredy

    Kilimo chenye viashiria vya faida kubwa

    Soko la ndani la parachichi ni kubwa sana kwahiyo tulime usikatishe watu tamaa mimi ni mkulima mdogo kabisa natamani ningelima zaidi
  5. Bestfredy

    Kilimo chenye viashiria vya faida kubwa

    Hujui unachokiongea
  6. Bestfredy

    Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

    Umetoa mada nzuri ushauli tuu hiyo space mlioweka ni ndogo mno miti itashonana na kushindwa kuzaa vzr parachichi ni mti mkubwa 10m*10m au iwe 10m*8m angalau kidogo.
  7. Bestfredy

    Tupeane maujanja ya Excel

    Tofauti tofauti
  8. Bestfredy

    Tupeane maujanja ya Excel

    Mkuu wetu naomba umsaidie huyu mtu utakua umetusaidia weng mno
  9. Bestfredy

    Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

    jamani mm mbona nikiingia hiyo sehemu ya nakala yakitambulisho wananiambia mtandau cjasajiliwa tatizo nini
  10. Bestfredy

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    mimi nimetoa jmoc na jumapili nimesema working days
  11. Bestfredy

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Mkuu kufunga shule sio likizo ya mwalimu,kwa mwaka mfanyakazi analikizo ya siku 22 za kazi hivyo kama anataka likizo lazima aombe kwa mwajili wake.
Back
Top Bottom