Wee soma vitabu vyako fuga kuwa bilionare, kitabu hakijawahi fuga hata njiwa. Hayo ni makaratasi na mbwembwe tu. Wee Tangaza wapo utakaowapiga lkn ukweli ni kwamba hakuna jipya utakalo kuja nalo kwenye ufugaji wa kuku.Nimepitia sana ukosoaji wako sioni hoja ya msingi.Huwa nakubali sana objective criticism.....Sasa kuniambia umeshawahi kukutana na mkurugenzi wa sijui nini nayo sio hoja kwangu,unefuga sijui broiler,Sasso n.k nayo bado sio hoja........Ni kweli kwamba kitabu chetu kina sura nyingi na moja ya sura husika ni changamoto za ufugaji na namna ya kukabiliana nazo. Yaaani mfugaji wewe hujasoma hata ukurasa mmoja wa kitabu lakini umeshakosoa kama vile umekikagua? Humo ndani imo hydroponics fodder uliyoitaja,namna ya kuiandaa,faida zake kwa mifugo,na tahadhari zake pia.
Inawezekana ukafuga miaka 20,na bado ukala hasara,ukafuga hata miaka miwili na bado ukala hasara.Hilo ni jambo la kawaida sana.Ndio maana mimi/sisi tunajiamini kuandika mambo y msingi na tukatoa kitabu pamoja na kuweka option ya kusainiana makubaliano na mteja atakayetaka tusimamie mradi wake kwa makubaliano aone kwa vitendo.Hili naamini hata wewe huwezi sababu pengine umekuwa ukifuga kwa kubahatisha.Ndio maana nasema,Mwalimu anaweza kuwa amefundisha miaka 30 anatumia vitabu vya wenzake,lakini Mwingine akaajiriwa ndani ya miaka mitano akaandika kitabu kizuri tu,lakini kwa hulka ya Watanzania,huyu aliyefundisha miaka 30 atakataa kutumia kitabu hicho sababu huyu kijana wa juzi kajulia wapi haya mambo mimi nisiyajue? Hii ndii Tanzania yangu
Yote ni yale yale tu pata muda ni kualike shambani kwangu Kibaha hayo mavitabu yako utaenda kufanya matandiko kwa ajili ya viranga.
Napinga na nitaendelea kumpinga mtu yeyote anayekuja na faida tu kwenye ufugaji. Hakuna biashara au mradi wa aina hiyo duniani. Waeleze watu waelewe kwamba kuna faida nanhasara