Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Inategemea na namba ya simu uliosajilia NIDA,kama ulisajili namba tofauti na ile unayopiga *152*00#
Ofcoz majibu huwezi kupata utaishia kupoteza tu hio mia yako
 
Leo nimewazukia na hasira pipa wanipe kitambulisho au namba jamaa ananajibu kitambulisho Bado namba kaangalie kwenye simu!
Jibu nililompa SITOKI HUMU OFISINI HADI UMENIPA NAMBA
 
Mi nimeuliza nikapewa namba na kuambiwa kitambulisho kiko tayari nikifuate. Ila nimeshaliwa kama zaidi ya buku kwa kuulizia tu siku za nyuma
Leo nimewazukia na hasira pipa wanipe kitambulisho au namba jamaa ananajibu kitambulisho Bado namba kaangalie kwenye simu!
Jibu nililompa SITOKI HUMU OFISINI HADI UMENIPA NAMBA
 
Inategemea na namba ya simu uliosajilia NIDA,kama ulisajili namba tofauti na ile unayopiga *152*00#
Ofcoz majibu huwezi kupata utaishia kupoteza tu hio mia yako
Thanx mkuu namba nimepata mi nilikuwa naangalia kwa namba ambayo sijasajilia,kwa kufuata hii comment yako nimetumia namba niliosajilia/ kujiandikishia
 
Hao jamaa ni wababaishaji hawajibu ni kutulia 100/= zetu tu
mbona mimi walijibu fasta cha msingi namba uliyojaza kwenye fomu ishabihiane nje na hapo utangoja sana unless labda kama hawajaingiza kwenye database yao
 
ishu ambayo inazingua ni copy ya ID naona hata kwenye website inazingua sana...
 
jamani mm mbona nikiingia hiyo sehemu ya nakala yakitambulisho wananiambia mtandau cjasajiliwa tatizo nini
 
Thanx mkuu namba nimepata mi nilikuwa naangalia kwa namba ambayo sijasajilia,kwa kufuata hii comment yako nimetumia namba niliosajilia/ kujiandikishia
Si lazima simu uliotumia, waweza mwangalizia hata kwa kutumia simu ingine. Tatizo computer za nida hazina 'akili', zitakuwa za mwaka 47! Tatizo lilianzia kwa waandika fomu kwa kukosea majina. Kama Kolimba waliandika Korimba, ukiulizia computer hazina uwezo wa kutambua hata kama majina yalio baki ni sahihi.
 
Mimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)
Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
kwa hiyo tuliokwisha katwa mia mia, tuendelee kusubiri majibu!?
 
Jana tu wametoka kunilia jiti langu
 
Back
Top Bottom