deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 417
Naomba kuuliza, Kuhusiana na Swala la ugonjwa...
Nimeona Siku 63 za mwanzo----Mshahara mzima.
Siku 63 zinazofuata, Msahara nusu.
Sasa swali ni je; """Mfanyakazi huyu akiugua zaidi ya Miezi 10"" ataendelea kupokea Mshahara ama?????
Ukishamaliza mzunguka wa likizo yako ya ugonjwa kama ulivyoainisha hapo juu, na ukawa bado haujapona kuweza kuendelea na kazi, basi mwajiri anaweza kuangalia kama una likizo za aina ingine ambazo haujachukua (mfano zile annual leave za siku 28), ikiwa nazo ulishamaliza, basi ktk good practice wewe mtakaa na mwajiri wako mshauriane aidha ustaafu mapema zaid (early retirement) ama pia anaruhusiwa kusitisha ajira yako kutokana na sababu za ugonjwa (termination on medical grounds).