Recent content by baunsamuoga

  1. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

    Tayari wadukuzi wameanza kufunga mifumo!
  2. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Style yoyote Ile inahitaji malkia kichupi malingo msafiiiiii mbona atanyonywa mpaka utumbo 😂!
  3. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya uweupe?

    Mweupe asiwe mchafuuu wanakasumba ya kunuka pegusi
  4. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli watu wenye miguu isiyo na uvungu wanakataliwa jeshini? Kama ni kweli zipi sababu?

    Huwez kufika hatua hizo ulizo taja pasipo kupitia msingi wa awali foot drill hapo kwenye physical fitness mzee wetu, pengine nikupe mfano Kuna kijana frani tulikuwa tunaishi nae mtaani alipata nafasi hiyo akiwa na changamoto hiyo ya miguu wakati wa mazoez ya kuruka ukuta alivunjika uti WA mgongo...
  5. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI MSHAURI.

    Mimi ni mkulima mdogo kutoka mkoa X, nimechungulia pia kwenye fursa ya ushonaji, kudalizi pamoja na kudizain nikiwa Nina lengo la kufanya uwekezaji mdogo kupata kiwanda kidogo (small garments) ambapo nitajikita kwa vijana zaidi ili kuwainua kwa fani hiyo. Dhima yangu ninaomba nipate mtu mwenye...
  6. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Nimeunga mkono Hoja nisiyo elewa! Lakini kwa ambaye hajaelewa zaidi basi awe mpole maana Hoja ya mkalia jamvi ni punguza speed wanaotaka kupokonya tonge la wengi, na hili kwa jicho la upofu tutaishia kupapasa sufuria lenye moto!
  7. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Wote walioshauri wapo vzr, kimsingi hebu tumia utashi wako kulingana na vipaumbele vyako, ujue ili upokee ushauri ni lazima uwe umejiandaa kwa majibu ambayo tayari ulisha tolea maamuzi.
  8. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Kinachoshangaza ni kwamba humu unatafuta huruma na sio msaada,! Malalamiko yako hayatoi historia ya maisha yenu ya nyuma kipindi anafanya kazi kiwandani wkt huo wewe huna kazi! Kuyumba kupo kwenye maisha na huyo yupo kwenye hatua ya mpito, hivi unajiskiaje kuyaona madhaifu yake kwa wkt huu akiwa...
  9. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Nina uhakika wa asilimia 70 kuwa huenda mzigo ukawepo kweli

    Inasemekena kiimani ukipata ndoto inayohusisha mtu mchafu kama kichaa au mtoto mchanga hiyo ni ishara ya mafanikio! Lkn hayo ni mambo ya ndoto hakuna ushahidi
  10. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Iran wameapa kummaliza Trump

    Ipo wazi hata kwenye maisha ya kawaida kwenye jamiii mtu anaye kuwa anasimamia haki huchukiwa na wanyonyaji na machawa! Lakini si kila mtu anajua maana ya Irani ni onyo Kwa matamshi na sio uandishi ambao ni kuakisi Jina.
  11. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

    Ukisimama ktk hisia za kidini lazima kuwe na mihemko isiyo kuwa na Hoja za msingi, ni kweli inawezekana hivyo lkn sio kwa misingi ya kuaminisha wengine kwa minajiri Ya udini, mawazo yako tumeyapokea Imani yako baki nayo!
  12. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Kampala (KIUT) aamuru Wanafunzi wapige magoti wakati anafundisha

    Vichupi malingo, anyway hoja zenu zinamashiko
  13. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Kama ungepewa Tsh 500 Million leo, ungewekeza kwenye nini?

    Huku kwetu apartments + kilimo ndani ya misimu 2 ni bilionea aseee
  14. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Hebu waleteni huku kwetu mweeeeeeee jmn
  15. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania Ni aina gani ya mwanamke ndiye furaha na faraja yako?

    Mwembamba mwenye kajishepu frani hv kadogo yaan kichupi malingo
Back
Top Bottom