So sad 😔, nadhani siri kali haina suruhisho juu ya hili, kwakuwa mzigo wa matukio hayo kama muendelezo kwa yanayo endelea ni jukumu la jamii husika! Tukili wazi katika muktadha wa mabadiriko ya tabia sidhani kama kuna sheria kali kwenye nchi yetu ili kubana watu au viashiria vya namna hiyo, lkn...
Wakuuu karibu Sana ugari dagaa nyasa na maji baridiiiiiii Sana! Hizi mbio sio za kushiba ukipata nafasi tembea hata peku inapunguza magojwa ya kisukal. Afya ni bora!
Ni ajabu Sana unakumbuka dawa ya kutaka kumrudisha ndani na umesahau yeye ndio alianza kukuroga ndiomana muda wote una hangaika! Mkuu huo sio upendo huyo mshenzi alikuwahi mapema, jitahid utafute ngaliba wakuweke Sawa!
Mkuu hapo inaonyesha wazi mazoea ya kujenga mijadala ulisha mjengea na yeye akajijenga ndio mwenye kiti wa kikao chenu kwakuwa ulishampa mamlaka ya upendo kwakupitisha Hoja zake Bila kupinga ili kujionyesha una mapenzi ya dhati kwake. Anyway ishu ya mahusiano inajikita kwenye tabia eidha kwa...
Ama kweli mfia enzi hakosi historia, inamaana ghafla masikio yamezibuka baada ya ubongo kuganda? Mbona mazuri ni mengi sana kuliko mabaya yanayo sadikika? Wahenga hunena ng'aa si kaa kwenye kuvunda hapakosi kunuka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.