Recent content by baunsamuoga

  1. baunsamuoga

    DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

    Inamaana Kuna wahuni wanaroga hata ukiwa ughaibuni? Hiii mbona inatishia sana
  2. baunsamuoga

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Kwa kiasi chake kwa uelewa wangu mdogo nashukuru na kuipongeza serikali kwa hatua hiii ya kujibu na kutoa hofu kwa mtu kama mimi!
  3. baunsamuoga

    Video: Wanaume wa Dar wanachamba asee. Huu mkoa kwa upande wa wanaume tumeshasema una uwalakini mkubwa

    So sad 😔, nadhani siri kali haina suruhisho juu ya hili, kwakuwa mzigo wa matukio hayo kama muendelezo kwa yanayo endelea ni jukumu la jamii husika! Tukili wazi katika muktadha wa mabadiriko ya tabia sidhani kama kuna sheria kali kwenye nchi yetu ili kubana watu au viashiria vya namna hiyo, lkn...
  4. baunsamuoga

    ASKARI YUPO MATAA YA OPPOSITE NA SHERI YA PUMA FIRE ANACHUKUA RUSHWA 3000 KILA BAJAJI

    Jua kali mnoooo Kuna mwenye mwamvuli humu?
  5. baunsamuoga

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Wakuuu karibu Sana ugari dagaa nyasa na maji baridiiiiiii Sana! Hizi mbio sio za kushiba ukipata nafasi tembea hata peku inapunguza magojwa ya kisukal. Afya ni bora!
  6. baunsamuoga

    Dawa ya kienyeji kali ya kurudisha mke ndoani

    Ni ajabu Sana unakumbuka dawa ya kutaka kumrudisha ndani na umesahau yeye ndio alianza kukuroga ndiomana muda wote una hangaika! Mkuu huo sio upendo huyo mshenzi alikuwahi mapema, jitahid utafute ngaliba wakuweke Sawa!
  7. baunsamuoga

    Nahitaji Dawa ya kuzuia kuongea au kumjibu mke wangu

    Mkuu hapo inaonyesha wazi mazoea ya kujenga mijadala ulisha mjengea na yeye akajijenga ndio mwenye kiti wa kikao chenu kwakuwa ulishampa mamlaka ya upendo kwakupitisha Hoja zake Bila kupinga ili kujionyesha una mapenzi ya dhati kwake. Anyway ishu ya mahusiano inajikita kwenye tabia eidha kwa...
  8. baunsamuoga

    Wapiganaji 5 wa ISIS raia wa Tanzania wakamatwa kwenye operesheni ya ugaidi Puntland, Somalia

    Kwa majina hayo? Hofu yangu ni uraia wao, vipi kama Hao ni majirani zetu wamevaa Utanzania kuchafua? Anyway tuachie wajuvi
  9. baunsamuoga

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    So sad, kuwa mvumilivu swala lako limepokelewa Fata tu maelekezo yake ya msingi.
  10. baunsamuoga

    Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    Ama kweli mfia enzi hakosi historia, inamaana ghafla masikio yamezibuka baada ya ubongo kuganda? Mbona mazuri ni mengi sana kuliko mabaya yanayo sadikika? Wahenga hunena ng'aa si kaa kwenye kuvunda hapakosi kunuka!
  11. baunsamuoga

    KUJENGA NYUMBA KWA TOFALI ZA KUCHOMA KWA KUTUMIA UDONGO MWEKUNDU,NA KUJENGA KWA TOFALI ZA CEMENT KIPI BORA KIUFUNDI ZAIDI???.

    Tofari imara ni tofari ya udongo,, inabid uzilaze kwenye maji siku 3/7 ukiona Haijayeyuka/kupasuka huo mzigo ni miaka 200
  12. baunsamuoga

    Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Hiii mada ingeitwa vita ya walio nacho na wasio nacho sekta ya elimu Tanzania,. 😂
  13. baunsamuoga

    Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Ni kweli kabisa sufuria likisha pikiwa ugari huwa linaonekana chafu! Tuendelee kulisafisha ili kesho tule tena!
Back
Top Bottom