Huwez kufika hatua hizo ulizo taja pasipo kupitia msingi wa awali foot drill hapo kwenye physical fitness mzee wetu, pengine nikupe mfano Kuna kijana frani tulikuwa tunaishi nae mtaani alipata nafasi hiyo akiwa na changamoto hiyo ya miguu wakati wa mazoez ya kuruka ukuta alivunjika uti WA mgongo...
Mimi ni mkulima mdogo kutoka mkoa X, nimechungulia pia kwenye fursa ya ushonaji, kudalizi pamoja na kudizain nikiwa Nina lengo la kufanya uwekezaji mdogo kupata kiwanda kidogo (small garments) ambapo nitajikita kwa vijana zaidi ili kuwainua kwa fani hiyo. Dhima yangu ninaomba nipate mtu mwenye...
Nimeunga mkono Hoja nisiyo elewa! Lakini kwa ambaye hajaelewa zaidi basi awe mpole maana Hoja ya mkalia jamvi ni punguza speed wanaotaka kupokonya tonge la wengi, na hili kwa jicho la upofu tutaishia kupapasa sufuria lenye moto!
Wote walioshauri wapo vzr, kimsingi hebu tumia utashi wako kulingana na vipaumbele vyako, ujue ili upokee ushauri ni lazima uwe umejiandaa kwa majibu ambayo tayari ulisha tolea maamuzi.
Kinachoshangaza ni kwamba humu unatafuta huruma na sio msaada,! Malalamiko yako hayatoi historia ya maisha yenu ya nyuma kipindi anafanya kazi kiwandani wkt huo wewe huna kazi! Kuyumba kupo kwenye maisha na huyo yupo kwenye hatua ya mpito, hivi unajiskiaje kuyaona madhaifu yake kwa wkt huu akiwa...
Inasemekena kiimani ukipata ndoto inayohusisha mtu mchafu kama kichaa au mtoto mchanga hiyo ni ishara ya mafanikio! Lkn hayo ni mambo ya ndoto hakuna ushahidi
Ipo wazi hata kwenye maisha ya kawaida kwenye jamiii mtu anaye kuwa anasimamia haki huchukiwa na wanyonyaji na machawa! Lakini si kila mtu anajua maana ya Irani ni onyo Kwa matamshi na sio uandishi ambao ni kuakisi Jina.
Ukisimama ktk hisia za kidini lazima kuwe na mihemko isiyo kuwa na Hoja za msingi, ni kweli inawezekana hivyo lkn sio kwa misingi ya kuaminisha wengine kwa minajiri Ya udini, mawazo yako tumeyapokea Imani yako baki nayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.