Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Nimeunga mkono Hoja nisiyo elewa! Lakini kwa ambaye hajaelewa zaidi basi awe mpole maana Hoja ya mkalia jamvi ni punguza speed wanaotaka kupokonya tonge la wengi, na hili kwa jicho la upofu tutaishia kupapasa sufuria lenye moto!
 
Wa cuba nimeelewa ila vipi cake ya taifa mnataka muile wenyewe?. Tukitakka tupaate cake na sisi mnatuita majina mabaya na mikono yetu mnaichafua kwa mchanga ili tuwe wachafu mbele ya umati tusile, sio sawa kabisa.
Mtapewa mabaki ya keki, acheni haraka.
 
Mbona unaweka wingi mzee?

Una ishu inakusumbua kaka

mijadala ujenga acha kukimbilia tuhuma feki mara ole mushi nk

msanueni mwana line nyekundu sio.

Uchumi ukianguka, Utalii kwa ndimi za watu 10 kati ya maisha ya watu 70M sio jambo zuri.


Sio kila Barua utaandika ikawa na faid kwako.

Victor sempere.
Mafumbo mengine sana mzee, wasanueni watesi wa tanganyika (govt) kuwa sisi wanachi Tunasapoti waliokinyume na selikali batili na katili. Acha uchumi uyumbe wameshindwa kuulinda kwa misingi thabiti. Wakiuwa mmoja wanatengeneza engine miamoja.
 
Wakati watu wanauwawa ulikua wap?


arifu?


Mjifunze mambo kuna line ukivuka awaangalii mrma yako 30.

Baya moja tu linafuta mema 29.

siandiki kwa kufurahisha watu wala mkwara .

Wenye uelewa wa mbali wamesoma mistake inayofanywa watashauri.

Nakumbuka stori moja ya Mpambano wa Vita ya Utalii kati ya Kenya na Tanzania ( Inasadikika Lamu wapo bize kuwatumia makanja kuhakikisha mtalii afiki Serengeti haha ila battle imeridu Kwao wanaliaa...
We jamaa huna akili...

Hivi, hivi vitisho vyenu hua mnavifanya kutetea maslahi ya taifa au kikundi cha Kikwete na wenzake?...

Umewahi kumtisha nani wa Tanzania tulipouziwa mafuta bei ghali kuliko Zambia na Malawi?

Umewahi kumtisha nani wa Tanzania walioposingiziwa kesi za kigaidi?

Umewahi kumtisha nani watanzania walipouawa kwa mafungu oct 29?

Uliwahi kumtisha nani Wamasai walipohamishwa Ngorongoro ili eneo apewe muwekezaj!

Umewahi kumtisha nani Samia aliposema mafisadi watajwe hadharani ili waone aibu?

Umewahi kumtisha nani?

Leo unajaribu kumtisha mtu anayeitangazia dunia kile mlichokifanyia utafiti na kugundua kinafaa?

Heche alijua kuna ugaidi nchini kabla hamjakamata hao magaidi kule Mwanza, Dodoma?

Unakatwa.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.

Muhimu sheria na katiba zifuatwe.
Hiyo mistari mliyoichora haina maana
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Msitishe watu , huu ujinga ujinga ipo siku kitaumana na mtashangaa
 
Halafu likimpata kama la yule mrusha ngumi utamsikia Mama yake anaanza kulialia.
Mijitu mipuuzi kama nini...

Maneno ya Heche ni mabaya kuliko ufisadi unaofanywa na wana mtandao?

Kama ufisadi hauwaumizi mna msaada gani kwa taifa?
 
Anzeni sisi tumalize; maana nchi mmeshaiona ya mama yenu hii.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Unaongelea maslahi gani huku wanufaika wakiuwawa?...
Tafakari ewe mama!
 
Mafumbo mengine sana mzee, wasanueni watesi wa tanganyika (govt) kuwa sisi wanachi Tunasapoti waliokinyume na selikali batili na katili. Acha uchumi uyumbe wameshindwa kuulinda kwa misingi thabiti. Wakiuwa mmoja wanatengeneza engine miamoja.
Unadhani Watakubali Uyumbe?

Haha Sio jambo simple hivyo mzee


Asikiaye asikie.

Mkaidi akaidi.

Red Line... Green Line.

Tafakari
 
Back
Top Bottom