HahahahaUkajichanganya Tu mwenzako ameshapata Ajira😀😀
Anakaa mbagala ya NYC huyoHadi NY?? em sema kwelii??
Anaishi Washington DC.Anakaa mbagala ya NYC huyo
Nafikiri kwa sababu treni zinakuwa designed mahususi kujaza watu tena wakiwa wamesimama tofauti na dalaladala. Lakini pia serikali ya US inalaumiwa sana imetelekeza kushugulikia kuboresha miondombinu ya umma ya treni kwa muda mrefu kama reli ya mwendokasi ya California iliyokuwa inajengwa kwa kusuasua iliyopigwa chini na Trump.Bus si sana, ila treni zinajaza.
Mississippi. Vipi kwani?Oooh kumbee, etii ni jimbo gani ambalo lina Black Americans wengii??
Ushirombo 😁Oooh kumbee, etii ni jimbo gani ambalo lina Black Americans wengii??
Nilitaka kujua hilo tu.Mississippi. Vipi kwani?
Khaaah 😂😂😂Ushirombo 😁
Mimi nipo Atalanta GeorgiaAnaishi Washington DC.
Em sema kwelii?Mimi nipo Atalanta Georgia
Kumbe...Mkuu,
Majiji makubwa watu wanabanana kwenye usafiri wa umma kote kuanzia Tokyo, London, mpaka New York.
Serikali yetu imefulia kweli, lakini hili ni suala lipo dunia nzima kwenye majini makubwa labda wewe hujatembea tu.
Kampeni zijazo hii ndio sera kuuMikoani lini foleni itakuja
Nipo bongo🥺, ila one day yes nitafika huko.Em sema kwelii?
Basi sawaaNipo bongo🥺, ila one day yes nitafika huko.
Gentleman umetudharaulia sana dada zetu. Mmmmmh Gentleman hujawahi kutana na PS kali za kisukuma.Wanawake wa kisukuma ni wagumu miili yao sio kama hawa wa dar
Sawa sawaKampeni zijazo hii ndio sera kuu