Mossad wapishi wa uongo wapo kazini tena ..Baadhi ya maafisa wa Marekani wanahisi kuwa ripoti hiyo ya Israel inaweza kuwa mkakati wa kushawishi maamuzi ya Trump, wakati huu anapotafakari uwezekano wa kuongeza mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.
Mchicha mwibaKama nanyinyi mkafunga kabisa Novena lkn wapi 👈
kipenzi chetu tunacho tunatamba nae kwa jeuri zote!!
MUNGU wenu katumia VAR kagundua nyinyi ni chuki na PEPO chafu linawasumbua🤠🤠🤠🤠
Duh!Trump auwawe na maiti yake idinywe. Shenzi kabisa...
Ingawa ni uzushi wa mossad ila kwanini iwe haki US kuua viongozi wa nchi zingine ila wao hairuhusiwi? Kwamba wao ndio wana haki ya kuishi kuliko wa Iran?Hizo ni ndoto tu.
Wakifanikiwa kumuuwa Trump akiwa madarakani huo ndiyo utakuwa mwisho wa taifa linaloitwa Iran.
Ardhi yao itageuka kuwa jangwa lisloweza kuishi viumbe hai.
Qatori inato msaada kwa Marekani kumbe!
Iran ameisha mmaliza yule senator Lindsey GrahamAcha tusubiri tuone kifo cha trump nakumbuka kipindi cha George Bush ilikuwa zaidi ya vitisho vya trump lkn Hadi Leo anadunda tu
Jibu la kitoto Ile mbaya! Kawaua wenzake what does he expect?!
Ila aisee Novena na Vipimo havifanyi kazi, hii ni kumanisha Mungu hayupoKama nanyinyi mkafunga kabisa Novena lkn wapi 👈
kipenzi chetu tunacho tunatamba nae kwa jeuri zote!!
MUNGU wenu katumia VAR kagundua nyinyi ni chuki na PEPO chafu linawasumbua🤠🤠🤠🤠
Hahaha Iran kamtia adabu jana mpaa kakimbiza F22 kuzirudisha USA sababu base zote zimepigwa na hasara ni kubwa mno sijui hizo Missiles 1000 kama zimesalimika
Matokeo huwa yanakuja kama radi?Ila aisee Novena na Vipimo havifanyi kazi, hii ni kumanisha Mungu hayupo