Recent content by backer

  1. B

    Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

    JE unaijua elim ya rais wa afrika kusini mheshimiwa jackobo zuma? mbona nchi inaenda tu vizuri na wanatuzidi sisi ambao tuna dr.?
  2. B

    Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    itakuwa kama srya mambo yalianza hivi hivi. Mwisho wa serikali hii dhaifu inayoshindwa kuchukua uamuzi mgum wa kusolve matatizo ya wananchi umezidi kusogea.
  3. B

    Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    serikali iliyoingia madarakan kwa rushwa huwa hawajali.wabunge ml 10 kwa mwezi dr. Kumpa hata ml 2 ni dhambi? Sasa kuwafukuza hawa madr. Then ulete wa nje kwa gharama kubwa zaidi ya hawa waliopo ni akili au matope? Kumbe hata mh waziri mkuu nae yuko hivyo? Alichokuwa analia bungen kipindi cha...
  4. B

    Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

    duh............!!!!!!!!
  5. B

    Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

    ukistaajabu ya musa utaona ya filaunni
  6. B

    Mbowe katika Clouds FM, afafanua juu ya suala la Shibuda

    anataka kuzungumzia nini huyu mkuu wetu?
  7. B

    MAKAMBA avishwa GAMBA

    ila jamaa wamemmaliza vibaya, hawezi tena kuongea maana anatakiwa kuitetea serikali.kwisha kazi yake.jamaa hawa ni wabaya kweli kweli kwenye mipango.
  8. B

    Sponsorship za Masters nchini Tanzania

    mi mwenyewe natafuta sponsor ili nisome masters ya revenue law att mba.wenye msaada tafadhali.
  9. B

    ..... "Barnaba.. He is a bad ass"... Kasema DIVA wa clouuds...

    huyu demu mshamba sana na huwa anapenda kuongea mambo ya kijinga muda mwingi,mambo ambayo hayaendan na maadili, kuna siku nilikuwa na wazazi wangu kwenye gari usiku tunarudi home mida ya saa nne na nusu usiku, nimefungulia clauds fm, mzee akaniambia hakuna steshen nyingine ya redio? Manake hadi...
  10. B

    Ni sifa zipi zinatakiwa ili mtu akasome na awe rubani?

    Wana jf hope wote mko wazima, nina swali ambalo ninahitaji msaada wenu wana jf wenzangu, ni sifa zipi mtu anatakiwa awe nazo ili awze kujiunga na chuo chochote cha urubani? manaake wengine wanasema physics, maths na geography, wengine wanasema maths, geography na language, lipi ni lipi hapo...
  11. B

    Ni sifa zipi zinatakiwa ili mtu akasome na awe rubani?

    Hi wadau na wana jf wote kwa ujumla, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ni sifa zipi mtu anapaswa kuwa nazo ili akajiunge na chuo cha urubani? manake wengine wanasema lazima physics,maths na geography, wengine wanasema maths, geography na language. msaada wadau manake najua humu ni jungu...
  12. B

    Falsafa za Kambarage

    he waz a great leader, namkubali sana nyerere, watu wengi hawakumwelewa, watamwelewa baadae sana.
  13. B

    Ukimpa Binti Ujauzito ni Lazima Umuoe?

    inategemea meritta, huenda mlikuwa mna buytime tu then ikatokea hivyo sasa utafanyaje? Ni bora kulea mtoto kuliko kuwa na mtu ambae unajua hamtadumu.
  14. B

    Cameron: Kikwete kakubali maharamia wa kisomali kushtakiwa TZ!

    kuwashtaki au kutokuwashtaki kwetu hakutusaidii ni sawa, lakin kwa nn tuanze kujiingiza huko! Hawa waingereza hawajaona nchi nyingine hadi sisi? Sisi tuna kitu gani special? Kwa nn sio kenya ambao tayari majeshi yake yapo somalia? Sio bure lazima kuna kitu.waingereza na wamarekan hawafanyi...
Back
Top Bottom