- kwanza Mungu hapendi wazinzi
- Inaonyesha jinsi gani unafanya ngono isiyosalama na hadi unasababisha mimba
- Huwezi kulea Mimba, mimba hulelewa na wenye ndoa au wanaoishi pamoja kwa upendo, usidhani kutoa pesa ya matumizi ndio kelea mimba... it is beyond that border kijana
- Kama hujao ni vema ukamwoa ili pamoja mlee mimba. kama umeoa acha tabia mbaya na kafanye TOBA