ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
kosa ni la huyo mwanaume asiyeheshimu ndoa yake wema hajui kama huyu ni mume wa mtu.
Na mimi namtafuta Wema nimle. Yaani machiz kibao wakoingiza nyavu afu mimi bado. Haki ya nani lazima nimle.! Sikubali azeeke na utamu wake kabla sijampitia. Jaman mwenye contacts zake anishushie hapa.
Rich Oil Sheikh..... hulazimishwi kusikiliza, hakuna aliyekushikia bastola kuwa lazima usikilize.......
malaya wanatuliaga toka lini yaani huyo kutulia ni mapka siku atakayoingia kaburini ...na asiponagalia hata huko jahanamu ataendelea kuwa hivo hivo ....yaani nakuwa na toto kama wema nalitilia simu yapanya life kabisa...
Sasa hiyo pole unayompa ni ya nini kama mtu anaingilia ndoa ya watu? Huyu mtoto ni wa kufanyiwa maombi kwani inaelekea ni mchafu kupindukia- kwa wanaume wa dar labda ni mimi peke yangu sijamlala!
Alye andika hapo lazima atakuwa mpenz wa taarab
Si alidai gari kanunuliwa na familia yake haya siri imefichuka.