Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

zilakina

JF-Expert Member
Sep 16, 2011
293
77
Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:
 
Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.
Mapenzi ya kweli yapo, haijalishi hao watu wanakutana wapi. Kama wameanza kukutana facebook haimaanishi hawawezi kuwa na mapenzi ya ukweli. Ingawa vijana wengi wanaingia katika hizi social media kutafuta mahusiano ya muda, ndo maana wengi wanajitahidi kuweka picha ambazo zinavutia zaidi (Photoshop).
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:

Hapo ndiyo kazi inapoanza lazima umkimbie.
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:

umempenda kwa vigezo vipi sasa wakati hata kumuona hujamuona? kama kaweka picha bandia je? ama kweli cheni feki, fedha feki
 
Kiukweli wabongo wengi hasa wasichana wanatumia sana Facebook kuuza sura na hatimaye kupata mahusiano ambayo mara nyingi huwa sio serious lakini eventually baadhi zinakuwa kweli
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:

hapo sasa shoga unalo
 
umempenda kwa vigezo vipi sasa wakati hata kumuona hujamuona? kama kaweka picha bandia je? ama kweli cheni feki, fedha feki

yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?

nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.:der::der:
 
si bora Fb mi wangu tulikutana mlango wa kuingilia gest na tunapendana kweli
 
mie nimekutana na mwanaume,nimempenda na yeye anadai ananipenda,anataka tuonane ila mie namzingua maana picha nilizoweka zimetoka vizuri na slim,wkati mie ni wa kawaida na ni bonge,:happy::der::der::der:

Tafadhali dada nakuomba umsikilize huyo mtu, hujui anavyo teseka mwenzio. Yaani nyie wakina dada mngejua inavyouma kwa mwanaume anapompenda msichana halafu msichana anamzingua, siukubali tu muonane maana huwezi jua moyo wake ukoje, tafadhali onana nae maana sio vizuri kufanya moyo wa mwenzio usononeke
 
Matokeo ya baadae ndio yatakayoamuwa mapenzi ya kweli au la. Mbona wako wanaochaguliwa wachumba na kuletewa picha na ndowa zao zikafana!
 
Back
Top Bottom