Acha ushabiki hebu tueleze anachosema mboweANAONGEA KUHUSU KUMFUKUZIA MBALI SHIBUDA
hayawi hayawi sasa MNYANTUZU ANAPIGWA TEKE KULEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ATAHAMIA CCM B AU ATARUDI KWA WAUME ZAKE CCM A???
Kaka hapa hujaquote sawa, Hajasema kitu kama hiki.shibuda atashugulikiwa na chama.
.
Hujasikia pointi yoyote zaidi ya hiyo? Angeongea Kichaga Nape angewatuma muandamane keshoNamsikia Mbowe anaongea Clouds, maneno mawili kingereza cha ujanja ujanja.