Recent content by BabuMkubwa

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Usimwamini tena huyo aliyekuthibitishia
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    NMB nimeona tangu 16.22 Hrs
  3. B

    JamiiForums Tanzania Dunia inashangaa ukatili wa serikali ya Tanzania

    Thubutu warushe wafungiwe,nani anataka kufa njaa.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Hivi mpenzi wako akikuuliza “Una lengo gani na mimi” unamjibuje?

    Acha kuuliza maswali mepesi kama hayo,,peleka pesa ya matumizi usijipigie tuu.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Hivi neno makebo ni lugha gani?

    Makebo ni tafsida ya makalio makubwa
  6. B

    JamiiForums Tanzania Yanga wamwaga kifusi eneo lao ili Paredi la Simba lisipenye na kukatiza Jangwani

    Kazi ya ujenzi wa uwanja inaendelea acha uzushi rafiki
  7. B

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    Kwa tatizo kama hilo ni sahihi huyo mke wake azae na shemeji yake ndugu wa bwanake SIYO rafiki wa bwanake.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

    Kama ni kweli hongera zake
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nje ya muungano....!

    Serikali mbili kuungana halafu kuwepo na Serikali mbili ngumu kuelewa
  10. B

    JamiiForums Tanzania ATCL Yaanza Safari za Moja kwa Moja Dar-Moscow 2026

    Kwa kuwa itakuwa inapitia Ushelisheli inaweza pata abiria wa kutosha
  11. B

    JamiiForums Tanzania Overdrive ON vs OFF: Ipi ni bora katika mazingira ya mjini ya kuendesha kwa speed ndogo na Kusimama simama.

    O/D inapaswa kuwa OFF kwenye mteremko mkali vinginevyo iwe ON muda wote
  12. B

    JamiiForums Tanzania KERO Sisi walimu wa ajira mpya 2026 Halmashauri ya mji Newala - Mtwara hatujalipwa fedha za kujikimu. Mamlaka husika zipo kimya mpaka sasa

    Mshahara unapata,?Endelea kuchapa kazi za kujikimu utalipwa Serikali huwa haidhulumu haki ya mtumushi
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Sasa hapo palipoungua si ndiyo patazidi kuiva kwa joto ulilofunikia?
Back
Top Bottom