Recent content by BabuMkubwa

  1. B

    Maisha hayatabiriki dunia sio yetu

    Inasemekana gari lilipasuka tairi kitu ambacho ni purely ajali
  2. B

    Inasikitisha kanisa katolilki nalo limeingia kwenye kundi la makanisa ya mchongo; ushahidi huuu hapa!

    Hayo madhehebu mengine unayoyatukana yamekukosea nini.Jaribu kuheshimu imani za wengine.
  3. B

    GE2025 Moja ya impacts za CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi zaanza kuonekana sasa

    If on your opinion"national unity"means one party Parliament you are correct otherwise we need a very strong opposition party.
  4. B

    Jonathan SOWA ni mtu mtukutu akija yanga hata maliza msimu ataleta hasara

    Yes,,ana katabia ka bangi bangi kama leo kala red ya kipuuzi sana.
  5. B

    Boom ni TZS10,000 kwa siku, na siyo TZS8,000

    Muda huu unafurahia huo mkopo mkubwa ila baadae utakuja kujua"kukopa harusi kulipa matanga".
  6. B

    Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Kama wiki mbili zilizopita tupo msibani Mhe Diwani alipewa nafasi ya kuongea neno baada ya kumaliza alichoongea akawaambia waombolezaji wapige makofi mengi kwa mama aibu iliyompata anaijua mwenyewe.
  7. B

    Mwaka 1999 kuna gazeti liliandika “Ally Mayay apata yai mtihani kidato cha sita”

    'NASIKIA ALIUNGA MPAKA DEGREE' kwa hiyo huna uhakika au umeacha tuu kusema aliunga mpaka degree.
  8. B

    Vyeo vya Usalama wa Taifa (TISS) – Kuanzia cha chini hadi cha juu

    Namba 4 itakuwa:Afisa Mwandamizi wa Usalama(Senior Security Officer).Namba 5:Afisa Mkuu wa Usalama ( Principal Security Officer) )ndiyo vifuate hivyo vingine.
  9. B

    Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi

    Kumbe Tz tumeshakua donor country tayari dah.
  10. B

    Msajili alisajili Kanisa hakumsajili Gwajima ndio maana kafuta usajili baada ya kanisa kukiuka masharti ya usajili

    Kwa hiyo mtoto akishika kinyesi utamkata mkono au utamsafisha kile kinyesi.
  11. B

    Wanaume wa humu mna dharau sana

    Marry kwenye hilo kundi "count me out" sipo.
Back
Top Bottom