Recent content by BabuMkubwa

  1. B

    JamiiForums Tanzania Nje ya muungano....!

    Serikali mbili kuungana halafu kuwepo na Serikali mbili ngumu kuelewa
  2. B

    JamiiForums Tanzania ATCL Yaanza Safari za Moja kwa Moja Dar-Moscow 2026

    Kwa kuwa itakuwa inapitia Ushelisheli inaweza pata abiria wa kutosha
  3. B

    JamiiForums Tanzania Overdrive ON vs OFF: Ipi ni bora katika mazingira ya mjini ya kuendesha kwa speed ndogo na Kusimama simama.

    O/D inapaswa kuwa OFF kwenye mteremko mkali vinginevyo iwe ON muda wote
  4. B

    JamiiForums Tanzania KERO Sisi walimu wa ajira mpya 2026 Halmashauri ya mji Newala - Mtwara hatujalipwa fedha za kujikimu. Mamlaka husika zipo kimya mpaka sasa

    Mshahara unapata,?Endelea kuchapa kazi za kujikimu utalipwa Serikali huwa haidhulumu haki ya mtumushi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Sasa hapo palipoungua si ndiyo patazidi kuiva kwa joto ulilofunikia?
  6. B

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Nyumba ya Chini Kua Ghorofa kwa Kuongeza Nguzo na Tofali za Kulaza?

    Inawezekana bila tatizo lolote.Floor utakayo weka iwe supported moja kwa moja na nguzo toka chini
  7. B

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Msingi Namahonga – Tandahimba, Wanafunzi wanakaa chini, mvua ikinyesha madarasa yanavuja

    Ushuru wote wa korosho halmashauri inashindwa kununua hata bati.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Hivi hakuna kifungo cha nje au conditional discharge? Kukutwa na nyama ya Nguruwe Pori ni kosa la kumfunga miaka 20?

    Kg 420 ni wastani wa ngiri 20 kila mmoja mwaka,hiyo ni ajali kazini atatoka siku yake.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Udhibiti Uchumi LATRA: Madereva watakaogoma Aprili 12, kufutiwa Leseni

    Huo ni ubabe usiokuwa na tija,gharama za uendeshaji zimepanda hakuna namna nauli inabidi zipande japo kidogo.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Maisha hayatabiriki dunia sio yetu

    Inasemekana gari lilipasuka tairi kitu ambacho ni purely ajali
  11. B

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha kanisa katolilki nalo limeingia kwenye kundi la makanisa ya mchongo; ushahidi huuu hapa!

    Hayo madhehebu mengine unayoyatukana yamekukosea nini.Jaribu kuheshimu imani za wengine.
  12. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Moja ya impacts za CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi zaanza kuonekana sasa

    If on your opinion"national unity"means one party Parliament you are correct otherwise we need a very strong opposition party.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Jonathan SOWA ni mtu mtukutu akija yanga hata maliza msimu ataleta hasara

    Yes,,ana katabia ka bangi bangi kama leo kala red ya kipuuzi sana.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Boom ni TZS10,000 kwa siku, na siyo TZS8,000

    Muda huu unafurahia huo mkopo mkubwa ila baadae utakuja kujua"kukopa harusi kulipa matanga".
  15. B

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Bahati yenu Makolo mmekwepa 5G
Back
Top Bottom