Nje ya muungano....!

Nje ya muungano....!

YASIYOSEMWA

Member
Joined
Jun 1, 2026
Posts
31
Reaction score
58
Nikifuatilia mijadala Mingi mitandaoni na kwenye vijiwe mbalimbali kumeanza kuwa na hisia Kali Sana za uzawa.

Tukianza na ukanda ni majuzi tu bungeni tuliona namna wabunge wa kusini walivyo kuwa wakali kuhusu Barabara Yao YA kusini.

Lakini pia watu huona fahari kutamba na kijinasibisha na ukanda, Hii haishitui Sana...
Inayoshitua Ni hii ya Hisia uzanzibari na utanganyika.

Hebu tujadili nje ya muungano..
1. Feisal atakua mchezaji wa kigeni?
2. Bakhresa atakuwa mwekezaji wa kigeni...?
3. Wapemba na wakojani watakuwa raia wa kigeni watatakiwa kuwa na passport
4. Mchele toka mbeya utauzwa Kwa Bei tofauti n.k
5. Walionunua ardhi Bara na kujenga watakua Raia wa kigeni hivyo umiliki wa ardhi utapotea automatically n.k
 
Nikifuatilia mijadala Mingi mitandaoni na kwenye vijiwe mbalimbali kumeanza kuwa na hisia Kali Sana za uzawa..tukianza na ukanda ni majuzi tu bungeni tuliona namna wabunge wa kusini walivyo kuwa wakali kuhusu Barabara Yao YA kusini.
Lakini pia watu huona fahari kutamba na kijinasibisha na ukanda,Hii haishitui Sana...
Inayoshitua Ni hii ya Hisia uzanzibari na utanganyika...
Hebu tujadili nje ya muungano..
1.Feisal atakua mchezaji wa kigeni?
2.Bakhresa atakuwa mwekezaji wa kigeni...?
3.wapemba na wakojani watakuwa raia wa kigeni watatakiwa kuwa na passport
4.Mchele toka mbeya utauzwa Kwa Bei tofauti n.k
5.Walionunua ardhi Bara na kujenga watakua Raia wa kigeni hivyo umiliki wa ardhi utapotea automatically n.k
Mimi nataka muungano ufe kesho
 
Ukanda ni story za kusadikika. Ila Uzanzibari na utanganyika hiyo ni wazi kabisa kuwa muungano ulikosewa na unatakiwa kufutwa tuishi kama majirani. Hakuna madhara wala shida mzanzibar akija huku ni kama mkongo au mkenya akinya ardhi ya TANGANYIKA.

Na wale wazanzibari waliozaliwa huku anatakiwa kupatiwa nyaraka mpya za ugeni. Kwao ni Zanzibar sio huku. Maana hawa was*ng* ukiwapa nafasi tu ya kjichanganya nao wanausnitch sana na kujiona 1st class citizens na ni wabaguzi sana wa kidini na kijamii.
 
Hivi huu muungano nani ana utaka
Kati ya zanzibar na tanganyika
Kwa hali ya sasa ni wazanzibari ndio wanafosi maana wangeweza kuuvunja saa hii ila unaona wanavyofosi kuishi na kuingilia na kuingia katika mamlaka na taasisi zetu.
 
Nikifuatilia mijadala Mingi mitandaoni na kwenye vijiwe mbalimbali kumeanza kuwa na hisia Kali Sana za uzawa..tukianza na ukanda ni majuzi tu bungeni tuliona namna wabunge wa kusini walivyo kuwa wakali kuhusu Barabara Yao YA kusini.
Lakini pia watu huona fahari kutamba na kijinasibisha na ukanda,Hii haishitui Sana...
Inayoshitua Ni hii ya Hisia uzanzibari na utanganyika...
Hebu tujadili nje ya muungano..
1.Feisal atakua mchezaji wa kigeni?
2.Bakhresa atakuwa mwekezaji wa kigeni...?
3.wapemba na wakojani watakuwa raia wa kigeni watatakiwa kuwa na passport
4.Mchele toka mbeya utauzwa Kwa Bei tofauti n.k
5.Walionunua ardhi Bara na kujenga watakua Raia wa kigeni hivyo umiliki wa ardhi utapotea automatically n.k
Kwa uliyoyataja hapo juu Tanganyika inanyonya au inanyonywa
 
Back
Top Bottom