Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

Mganga wako ni mmakua au mzigua...
Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
 
Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
Mashabiki wa simba mpira unachezwa uwanjani na siyo mdomoni au humu jukwaani.
 
1. Golikipa hatoshi.
2. Beki wa kushoto (kata maema)
3. Kiungo No 6
(Kata katleso)
4. Mshambuliaji No 9
(Kata DUMBIA)
 
Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
Mjomba umesababisha mikeka ya watu kuchanika. Unajisikiaje huko uliko?
 
Back
Top Bottom