Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 19,983
- 41,248
Mganga wako ni mmakua au mzigua...
Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa