Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.
Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!
Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!
Mara mikataba ya madini...
Nimekuja Tanga kikazi juzi na pesa yote ya mahitaji na akiba kwa ujumla nimeweka katika M pesa, kufikia usiku kama saa nane mtandao ukakata na kuandika Emergency na hali ikaendelea hivyo hadi jana mchana hali iliyonipa wasi wasi na kutembelea vituo kadhaa vya Vodacom na jibu nililopewa ni kuwa...
Vita siku zote huwa na pande mbili na majibu sahihi huja mara baada ya vita kuisha.....najua Kim ataisumbua US ila mwisho wake atapigwa tu.....SHABIKIENI KIDUKU ILA ISIJE BAADAE MKAMLAUM MMAREKANI KUWA AMEKOSEA KULIANGAMIZA TAIFA HILO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.